Darcity Magari
Member
- Aug 29, 2022
- 58
- 53
Habari,
Ninaombeni Msaada wa vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma ya Ualimu wa Shule ya Msingi.
Ninaombeni Msaada wa vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma ya Ualimu wa Shule ya Msingi.
Hao wanao force kusoma wanatokea huko huko mtaani mambo sio rahisi Kama usemavyo at kilimoIngekuwa amri yangu ningekushauri hiyo ada ungaeanza uwekezajihata kwenye kilomo mapema kidogo kidogo naona tumetupa pesa nyingi kusoma wakati ajira sumbufu na mshahara kijiko
Vyuo viko Vingi sana Mkuu ingia kwenye Tovuti ya Wizara ya Elimu utakuta Orodha yake kuanzia Vikindu TC, Korogwe, Butimba, Tabora, Morogoro nk nk viko vya kutosha. Achana na stori za Vijiweni kwamba walimu wanatosha. Mpeleke Kijana wako asomee masomo adimu kama Sayansi, Kiingereza na Hesabu Ajira bado zipo. Walimu waliopo wanastaafu, kupangiwa majukumu mengine, Shule mpya zinajengwa, Idadi ya watu inaongezeka maaana Wanafyatua tuuu wakijua elimu ni bure. Kwahiyo walimu bado wanahitajika sana tu usikatishwe tamaa.Habari , Ninaombeni Msaada wa Vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma YA Ualimu wa Shule YA Msingi
Mkuu....Ila kwa ushauri wangu acha kupoteza muda sooon serikali inaanza kuajiri only degree qualified teacher ,ajira zenyewe unaziona
Hizo diploma za primary zilisitishwa mwaka hu haipo tena.Habari,
Ninaombeni Msaada wa vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma ya Ualimu wa Shule ya Msingi.
Vikindu Teachers CollegeHabari,
Ninaombeni Msaada wa vyuo vya Serikali vinavyotoa Diploma ya Ualimu wa Shule ya Msingi.