Naomba ushauri kwa Mtu Aliyesoma certificate ya Ualimu Grade A afanye nini Kujiendeleza

sokoMchizi

Member
Oct 15, 2022
48
199
Habari za wakati huu wakuu,

Nina Mdogo wangu Amemaliza certificate ya Ualimu Tabora Teachers college Grade A , ila Nilitaka ajiendeleze apate Diploma Ila kwa bahati mbaya sijapata chuo kinachotoa Diploma ya ualimu wa shule ya Msingi.

Ninaomba ushauri ni chuo gani anaweza pata diploma inayofanania na ualimu wa primary au aweze kuchukua hatua gani kujiendeleza
 
Habari za wakati huu wakuu , Nina Mdogo wangu Amemaliza certificate ya Ualimu Tabora Teachers college Grade A , ila Nilitaka ajiendeleze apate Diploma Ila kwa bahati mbaya sijapata chuo kinachotoa Diploma ya ualimu wa shule ya Msingi , Ninaomba ushauri Ni chuo gani anaweza pata diploma inayofanania na ualimu wa primary au aweze kuchukua hatua gani kujiendeleza
Anaweza kusoma Open University Diploma in Primary Teacher Education au Diploma in Early Childhood Education.
 
Certificates nadhani imefutwa,sijajua kama inatambulika kuombea diploma.
 
Habari za wakati huu wakuu,

Nina Mdogo wangu Amemaliza certificate ya Ualimu Tabora Teachers college Grade A , ila Nilitaka ajiendeleze apate Diploma Ila kwa bahati mbaya sijapata chuo kinachotoa Diploma ya ualimu wa shule ya Msingi.

Ninaomba ushauri ni chuo gani anaweza pata diploma inayofanania na ualimu wa primary au aweze kuchukua hatua gani kujiendeleza
aende VETA
 
Aende akasome diploma institute of adult education,open university of Tanzania au colleges zinazotoa kozi hiyo
 
Back
Top Bottom