johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Wasifu wa hayati Mwinyi unasema Elimu yake ni Diploma ya Ualimu aliyoipata nchini Uingereza
Natafakari namna Diploma ya Ualimu ilivyotuletea mabadiliko makubwa tena chanya ya Kiuchumi na kisiasa
Walimu shikamoo
RIP Mwalimu Mwinyi
Natafakari namna Diploma ya Ualimu ilivyotuletea mabadiliko makubwa tena chanya ya Kiuchumi na kisiasa
Walimu shikamoo
RIP Mwalimu Mwinyi