Ni volkswagen touran ama spacio??

Ukaridayo

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
507
469
Nawatafuta watu wenye uelewa, watu ambao ni siriaz kwenye hili... watu wenye passion ktk shauri.
Hodi tena wana jamvi, naamini kabisa kuwa hapa ni jungu kuu... hapakosi makoko..

Nianzie hapa kaka yangu yupo njia panda kwenye hizo gari tajwa hapo juu...
sababu ni hii hapo kabla passion yake ilkuwa kwenye spacio ila ishu inakuja kwenye suala la kule kuchoka haraka kwa spacio pamoja na unyanya lakini baya zaidi ni kule kukosa safety kabisa kwa nje hasa front pindi inapotokea emergence ya kugongwa ama kugonga na hasa kwenye foleni za hapa town.. jinsi linavyokuwa utadhani dereva alkuwa kwenye high way wkt ni kwenye foleni tu..

So kwenye ku-opt akajikuta ameangukia kwenye product za ULAYA ambayo ni TOURAN VOLKSWAGEN (1490Cc au 2000Cc) hivyo basi before hajamove forward kuna yale machache ya kushare na watu wale ambao hapo awali nilsema nawatatafuta, watu wenye passion, watu wenye uelewa na wapo siriaz kwenye terms zifuatazo;

1. vipi khs upatikanaji wa vipuri kwa gari za Volkswagen hapa Tz na hususani Touran?

2. Stability ya hili gari barabarani ipoje? mana kwenye dashboard linaonyesha linafika mpk 260/kmh

3.Durability kwa hizi brand za volkswagen hususan touran?

2731115_b.jpeg

2731115_d.jpeg

2731115_c.jpeg

2731115_j.jpeg
2731115_k.jpeg
2731115_l.jpeg
 
Na mimi naomba kujua vipuri vya Volkswagen vinapikana nchini?
volkswagen vipuri ni shida kupatikana hapa tz, lakini waweza kuagiza!ila hadi kuja kubadilisha vipuri kwenye Volkswagen kuna mawili;
1) Sio mtumiaji mzuri wa gari, upo rough sana na hulijali na wala hufanyi service kwa wakati
2) Baada ya miaka kadhaa kupita ndo unaweza kujikuta unabadilisha, mfano: plugs, air filter n.k
3) Umepata nalo ajali
 
volkswagen vipuri ni shida kupatikana hapa tz, lakini waweza kuagiza!ila hadi kuja kubadilisha vipuri kwenye Volkswagen kuna mawili;
1) Sio mtumiaji mzuri wa gari, upo rough sana na hulijali na wala hufanyi service kwa wakati
2) Baada ya miaka kadhaa kupita ndo unaweza kujikuta unabadilisha, mfano: plugs, air filter n.k
3) Umepata nalo ajali
Kwa hiyo spare parts zingine kama oil,oil filters n.k zinaingiliana na magari mengine kama Toyota si ndio
 
volkswagen vipuri ni shida kupatikana hapa tz, lakini waweza kuagiza!ila hadi kuja kubadilisha vipuri kwenye Volkswagen kuna mawili;
1) Sio mtumiaji mzuri wa gari, upo rough sana na hulijali na wala hufanyi service kwa wakati
2) Baada ya miaka kadhaa kupita ndo unaweza kujikuta unabadilisha, mfano: plugs, air filter n.k
3) Umepata nalo ajali
Heko mkuu... Sasa nimeanza kuwaona watu wenye passion... Salute..
 
MNAJUA KAMA TUKIENDELEA KUELEMISHANA VZR HASA KWA HIZI GARI BRAND ZA ULAYA NAAMINI KABISA TUTAKUWA TUMEONDOA YALE MAWAZO HASI YALIYOJENGEKA NA MWISHO YAKA ZAA HOFU KHS BRAND ZA ULAYA... MAANA BRAND ZINGINE ZA UROPA NI AFFORDABLE KABISA..

NDIYO TUNAFAHAMU HAKUNA KITU KISICHOKOSA CHANGAMOTO.. BUT KUPITIA HIZO HIZO CHANGAMOTO WE HAVE TO MOVE FORWARD..

SO MWENYE UELEWA NA MJUZI WA VIPURI KWA BRAND ZA UROPA ATUJUZE NI BRAND IPI AMBAYO SPAIRE ZAKE NI YEBOYEBO
 
Nimewahi miliki vw touran mwaka 2014 mpaka 2016 ni gari nzuri, ipo comfortable, speed juu body ni nzito quality ya hali ya juu sana sio kama chuma uchwara Toyota. Lakini siwezi kumshauri mtu anunue hiyo gari. Ilinifanya niyaogope magari ya mjerumani kwani ni ugonjwa wa moyo.

Wife aligonga kidogo taa ya mbele 1 ikapasuka sikuweza pata Dar wala Nairobi, nikapata south Africa mjini Johannesburg. Nilinunua pair kama laki 4 ya bongo,shock ups pia nilipata huko.

Ilipata tatizo la gearbox ku-change gears tatizo ambalo ni very common kwa vw za 2003 mpaka 2006 zinazotumia DSG transimition. Ilitakiwa nipate gearbox nyingine au niweke gari juu ya mawe. Pia ilikua na tatizo la check engine light kuwaka mara kwa mara, airbag erro light kuwaka nk .Uwezo wa kuagiza spare nilikua nao lakini ni shida, kama unanua vw basi at least iwe moja ya zile ambazo zipo common Tanzania kama toureg.
 
Nimewahi miliki vw touran mwaka 2014 mpaka 2016 ni gari nzuri, ipo comfortable, speed juu body ni nzito quality ya hali ya juu sana sio kama chuma uchwara Toyota. Lakini siwezi kumshauri mtu anunue hiyo gari. Ilinifanya niyaogope magari ya mjerumani kwani ni ugonjwa wa moyo.

Wife aligonga kidogo taa ya mbele 1 ikapasuka sikuweza pata Dar wala Nairobi, nikapata south Africa mjini Johannesburg. Nilinunua pair kama laki 4 ya bongo,shock ups pia nilipata huko.

Ilipata tatizo la gearbox ku-change gears tatizo ambalo ni very common kwa vw za 2003 mpaka 2006 zinazotumia DSG transimition. Ilitakiwa nipate gearbox nyingine au niweke gari juu ya mawe. Pia ilikua na tatizo la check engine light kuwaka mara kwa mara, airbag erro light kuwaka nk .Uwezo wa kuagiza spare nilikua nao lakini ni shida, kama unanua vw basi at least iwe moja ya zile ambazo zipo common Tanzania kama toureg.
Duu haya ndyo mawazo nilyokuwa nayatafuta upo deep mkuu... Thanks
 
Baada ya hapo nilinunua Toyota avensis all wheel drive ambayo sijawahi jutia. Nimepita njia zote haijawahi sumbua engine wala gearbox.
naam... Mkuu maliza kabisa na sifa ya hiyo avensis ... Vipuri vyake.. Stability yake na ulaji wake wa wese..
 
naam... Mkuu maliza kabisa na sifa ya hiyo avensis ... Vipuri vyake.. Stability yake na ulaji wake wa wese..
Avensis ni gari nzuri sana (saloon),ina nafasi ndani, ipo comfortable nk. Zipo kuanzia cc 1900 mpaka 2500 ambapo kuna front wheel drive, rear wheel drive na all wheel drive. Pia sio common sana kama spacio, ist au passo lakini ina share parts na premio rava 4.Tatizo pekee kubwa nililo wahi kulipata ni kufa starter usiku lakini ilipatikana nyingine na kazi ikaendelea,
 
Back
Top Bottom