PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Juzi niliweka bandiko hapa juu ya mapigano kati ya wamasai na waarusha ugomvi ambao mpaka sasa unaendelea POLISI NA FFU wameshindwa kuwaamulia na sasa JWTZ wameingilia kati na mafanikio yanaonekana kwa mbali kwani silaha zinazotunika ni zajadi yaani MASIME,MIKUKI NA MISHALE ugomvi ni kugombea maeneo ya malisho ambapo ndani ya eneo hIlo kuna shule ya sekondari ya OLDONYOSAMBO wanafunzi wameshindwa kutoka eneo la shule kutokana na mapigano hayo nyumba na mali kadhaa zimeteketezwa kwa moto,watoto wamepotea pamoja na mifugo.NASIKITIKA SAMA MOODS WAKAITOA BILA SABABU NILIGHAFILIKA SANA.