Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Unaposhindana na Chama kilichojaa manguli wa kisheria waliosoma Sheria ndani na nje ya Tanzania tena kwenye vyuo bora kabisa duniani vinavyofahamika kutoa Wanasheria bora kabisa ni vizuri uwe makini na smart sana.
Hiki ndo kinachowakuta system na CCM kwa sasa. Kwa kuwa system haijawahi ku invest kwenye kutengeneza na ku maintain watu smart, imekuwa vigumu sana kwa hila zote zinazofanywa na System kuweza kufanikiwa dhidi ya Chadema.
Same to CCM. Kwa kuwa kwa miaka mingi CCM haija invest kwenye kutengeneza watu smart kwenye chama chao na kuwa maintain kutokana na kukumbatia wanaojipendekeza, machawa na watu wenye elimu ya hapa na pale ( elimu ya kupika) Chama hiki kimeshindwa kabisa kukikabili Chadema katika uwanja wa siasa na hasa kwenye misingi ya kisheria ya Haki na Utawala Bora.
Kwa mtu ambaye hata hajawahi kwenda shule, huwezi kutegemea Msajili wa Vyama vya Siasa atafanya jambo ambalo hana mamlaka nalo kisheria kwa sababu tu ameelekezwa na wajinga wachache wa system afanye hayo.
Kitendo cha Msajili wa Vyama vya siasa kusema haitambui sekretarieti mpya iliyochaguliwa Chadema wakati hana mamlaka hayo kisheria sio tu kimemvua nguo bali kimemuaibisha kwa kiwango cha SGR kwa sababu ameonekana yeye ni kilaza na hakustahili sio tu kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa bali hata Jaji wa Mahakama Kuu.
Unapofanya maamuzi yeyote yale ni lazima ufanye maamuzi kwa mamlaka uliyopewa na kifungu cha Sheria fulani. Kwa bahati mbaya nchi hii ina Msajili wa Vyama vya Siasa na Jaji ambaye hajui hilo.😅
Kwa haya yanayofanyika napenda kukiri kuwa, ndo mana hila zote zinazofanywa dhidi ya Chadema zinafeli na kuzidi kuwapa Chadema umaarufu zaidi. Hata usiwe na akili kiasi gani hauwezi kufanya jambo ambalo huna mamlaka nalo kisheria.
Poleni sana CCM na wajinga wenu wanaofanya haya huko TISS. Kubalini tu nyakati zimewakataa. Labda muwageuze Watanzania wote kuwa matahira ndo huu upuuzi wenu mnaoufanya hautakuwa aibu.
Hiki ndo kinachowakuta system na CCM kwa sasa. Kwa kuwa system haijawahi ku invest kwenye kutengeneza na ku maintain watu smart, imekuwa vigumu sana kwa hila zote zinazofanywa na System kuweza kufanikiwa dhidi ya Chadema.
Same to CCM. Kwa kuwa kwa miaka mingi CCM haija invest kwenye kutengeneza watu smart kwenye chama chao na kuwa maintain kutokana na kukumbatia wanaojipendekeza, machawa na watu wenye elimu ya hapa na pale ( elimu ya kupika) Chama hiki kimeshindwa kabisa kukikabili Chadema katika uwanja wa siasa na hasa kwenye misingi ya kisheria ya Haki na Utawala Bora.
Kwa mtu ambaye hata hajawahi kwenda shule, huwezi kutegemea Msajili wa Vyama vya Siasa atafanya jambo ambalo hana mamlaka nalo kisheria kwa sababu tu ameelekezwa na wajinga wachache wa system afanye hayo.
Kitendo cha Msajili wa Vyama vya siasa kusema haitambui sekretarieti mpya iliyochaguliwa Chadema wakati hana mamlaka hayo kisheria sio tu kimemvua nguo bali kimemuaibisha kwa kiwango cha SGR kwa sababu ameonekana yeye ni kilaza na hakustahili sio tu kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa bali hata Jaji wa Mahakama Kuu.
Unapofanya maamuzi yeyote yale ni lazima ufanye maamuzi kwa mamlaka uliyopewa na kifungu cha Sheria fulani. Kwa bahati mbaya nchi hii ina Msajili wa Vyama vya Siasa na Jaji ambaye hajui hilo.😅
Kwa haya yanayofanyika napenda kukiri kuwa, ndo mana hila zote zinazofanywa dhidi ya Chadema zinafeli na kuzidi kuwapa Chadema umaarufu zaidi. Hata usiwe na akili kiasi gani hauwezi kufanya jambo ambalo huna mamlaka nalo kisheria.
Poleni sana CCM na wajinga wenu wanaofanya haya huko TISS. Kubalini tu nyakati zimewakataa. Labda muwageuze Watanzania wote kuwa matahira ndo huu upuuzi wenu mnaoufanya hautakuwa aibu.
