Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,810
- 218,467
Wakuu natanguliza salamu za sikukuu , Nikiwa kama Mwananchi wa Tanzania , ninayo haki ya kushauri mambo mazuri yanayopaswa kufanywa na Serikali yangu .
Nimeona na natambua juhudi za serikali za kuirudisha mikononi mwa umma kampuni ya simu ya Celtel , Zain na sasa Airtel waliyouziwa watu wasiojulikana kwa gharama ya kutupa isiyozidi Tsh elfu 10.
Naomba Iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara ambayo mauzo yake yalimtoa machozi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ilirejeshwe tena mikononi mwa umma .
Miaka michache huko nyuma tuliwahi kurejesha mali zetu zilizoporwa kama vile Tanesco na TRL , hili pia tutaliweza tu.
Mungu ibariki Tanzania .
Nimeona na natambua juhudi za serikali za kuirudisha mikononi mwa umma kampuni ya simu ya Celtel , Zain na sasa Airtel waliyouziwa watu wasiojulikana kwa gharama ya kutupa isiyozidi Tsh elfu 10.
Naomba Iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara ambayo mauzo yake yalimtoa machozi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ilirejeshwe tena mikononi mwa umma .
Miaka michache huko nyuma tuliwahi kurejesha mali zetu zilizoporwa kama vile Tanesco na TRL , hili pia tutaliweza tu.
Mungu ibariki Tanzania .