mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,698
PM ni mtu hatariiiiiiiii na mkali kuliko JPMWameshahamia nyanza saiz watu wanajinyea ovyo
2025 inshallah tutampeleka Jengo Jeupe
PM ni mtu hatariiiiiiiii na mkali kuliko JPMWameshahamia nyanza saiz watu wanajinyea ovyo
NBC iliuzwa na Mkapa, patamu hapo.Wakuu natanguliza salamu za sikukuu , Nikiwa kama Mwananchi wa Tanzania , ninayo haki ya kushauri mambo mazuri yanayopaswa kufanywa na Serikali yangu .
Nimeona na natambua juhudi za serikali za kuirudisha mikononi mwa umma kampuni ya simu ya Celtel , Zain na sasa Airtel waliyouziwa watu wasiojulikana kwa gharama ya kutupa isiyozidi Tsh elfu 10.
Naomba Iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara ambayo mauzo yake yalimtoa machozi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ilirejeshwe tena mikononi mwa umma .
Miaka michache huko nyuma tuliwahi kurejesha mali zetu zilizoporwa kama vile Tanesco na TRL , hili pia tutaliweza tu.
Mungu ibariki Tanzania .
Hiyo kinga ifutwe kwanza kama tunataka kusonga.Wengine wana kinga, hawakamatiki wala hawafungiki.
Mpumbavu kabisa wewe dadaUnawashwa eeeh!
Pathetic swine...
Naona ashki majnuni inakusumbua.Mpumbavu kabisa wewe dada
Still na-insist wewe ni mwanamke mpumbavu! Kashtaki popote. Lakini utabaki kuwa m wanamke mpumbavu kwa kadri ya ile post yako ya mwanzo kuona serikali ni milki yako. Period!Naona ashki majnuni inakusumbua.
Kafufukaaaaa zombie face boy. Vipi Kodi ya makontena bandarini unalipa bila kukwepa???NBC iliuzwa na Mkapa, patamu hapo.