johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,961
Ni ushauri tu kwa sababu kikao hiki kinaweza kuwa cha kihistoria kufuatia mambo makubwa yaliyotokea hivi karibuni.
Ni wazi kuna kamgawanyiko fulani ndani ya Chadema baada ya mwenyekiti wao Freeman Mbowe kumualika nyumbani kwake KC wa ACT wazalendo Mh Zitto Kabwe.
Mwaliko ule umetafsiriwa kama ni Mbowe kumshukuru Zitto Kabwe kwa kumuombea msamaha na hatimaye Freeman akaachiliwa kwa kusamehewa lakini kupitia kirungu cha DPP.
Ikumbukwe Zitto Kabwe alitamba kuwa yeye alikuwa na taarifa ya Mbowe kusamehewa kabla DPP hajatimba mahakamani.
Mungu wa mbinguni ibariki Chadema na ACT wazalendo!
Ni wazi kuna kamgawanyiko fulani ndani ya Chadema baada ya mwenyekiti wao Freeman Mbowe kumualika nyumbani kwake KC wa ACT wazalendo Mh Zitto Kabwe.
Mwaliko ule umetafsiriwa kama ni Mbowe kumshukuru Zitto Kabwe kwa kumuombea msamaha na hatimaye Freeman akaachiliwa kwa kusamehewa lakini kupitia kirungu cha DPP.
Ikumbukwe Zitto Kabwe alitamba kuwa yeye alikuwa na taarifa ya Mbowe kusamehewa kabla DPP hajatimba mahakamani.
Mungu wa mbinguni ibariki Chadema na ACT wazalendo!