Kufatilia huduma katika mashirika ya Umma kunakera sana.
Kuna ujinga na kujisahau sana kwa watumishi sijui shida ni nini? Kwa mfano
Taasisi nyingi zina namba za simu za huduma kwa wateja ila ukipiga hazipokelewi ama hazipatikani kabisa, tatizo ambalo ungetakiwa ulisolve ukiwa kigoma tena kwa saa kadhaa linakulazimu uje Dar ambako unakutana na mlolongo wa watumishi wavivu wanakuweka siku kadhaa bila kujali hali yako ya kiuchumi na gharama unazoingia kwa jambo ambalo linaweza kumalizika kwa haraka.
Huko Hospitalini ni majanga Sina hata haja ya kueleza.
Kuna ishu ya Hawa TANESCO ndio wamefanya niandike, Kuna kibanda changu nimemjengea Bibi yangu kijijini sasa nimefanya process zote za kuvuta umeme, kufika hatua ya kupata control number Ili nilipe waniingizie umeme imekuwa shida.
Mwezi wa pili sasa unaelekea wa tatu control number hakuna yaani unafatilia mpaka unachoka, ukipiga simu personal hawapokei wanaona kama kero,. Ukiwafuata ofisini wanakuambia kesho, kesho imekuwa kesho....
Control number ya kusubiria kwa zaidi ya miezi miwili? Halafu bado tunataka tuendelee kama taifa
Halafu, nyie watumishi kama hamzipendi kazi zenu acheni muendelee na majukumu mengine maana mnafanya ufanisi wa serikali unakuwa mdogo
Hawa watu hawafai kabisa kuongezewa mshahara maana ni wavivu sana.
Kuna ujinga na kujisahau sana kwa watumishi sijui shida ni nini? Kwa mfano
Taasisi nyingi zina namba za simu za huduma kwa wateja ila ukipiga hazipokelewi ama hazipatikani kabisa, tatizo ambalo ungetakiwa ulisolve ukiwa kigoma tena kwa saa kadhaa linakulazimu uje Dar ambako unakutana na mlolongo wa watumishi wavivu wanakuweka siku kadhaa bila kujali hali yako ya kiuchumi na gharama unazoingia kwa jambo ambalo linaweza kumalizika kwa haraka.
Huko Hospitalini ni majanga Sina hata haja ya kueleza.
Kuna ishu ya Hawa TANESCO ndio wamefanya niandike, Kuna kibanda changu nimemjengea Bibi yangu kijijini sasa nimefanya process zote za kuvuta umeme, kufika hatua ya kupata control number Ili nilipe waniingizie umeme imekuwa shida.
Mwezi wa pili sasa unaelekea wa tatu control number hakuna yaani unafatilia mpaka unachoka, ukipiga simu personal hawapokei wanaona kama kero,. Ukiwafuata ofisini wanakuambia kesho, kesho imekuwa kesho....
Control number ya kusubiria kwa zaidi ya miezi miwili? Halafu bado tunataka tuendelee kama taifa
Halafu, nyie watumishi kama hamzipendi kazi zenu acheni muendelee na majukumu mengine maana mnafanya ufanisi wa serikali unakuwa mdogo
Hawa watu hawafai kabisa kuongezewa mshahara maana ni wavivu sana.