Ni utumwa wa kifikra

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
995
1,508
Ndio! Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kudhani kwamba kumsomesha mtoto ndio jukumu lako kubwa .

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kusema kwamba ninakusomesha mali utajitafutia.

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kumwambie mtoto jitafutie kwani mimi nilitafutiwa na baba yangu?

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kuamini kwamba mtoto kupotia shuruba za kimaisa ndio kuimarika

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kudhani kwamba mtoto akimaliza chuo basi ametoboa

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kushindwa kutengeneza misingi bora ya kiuchumi kwa mwanao.

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kutaka mtoto aishi maisha ya msoto eti kisa wewe ulipitia maisha hayo.

Ndio ni utumwa wa kifikra..
 
Ndio! Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kudhani kwamba kumsomesha mtoto ndio jukumu lako kubwa .
Ni utumwa wa kifikra na ujinga uliopitiliza kudhani kuwa kumsomesha mtoto si jukumu kubwa la mzazi.
 
Mtu anazaliwa na akili.
Hizi kila mmoja anazo.
Shule ba vyuo hutoa maarifa.
Aliyesoma anakuwa na akili na maarifa.

Wazazi wanapeleka watoto wao shuleniili wapate maarifa na kuimarisha akili zao ikiwa ni pamoja na kuwapa uthubutu na ujasiri.

Wapo watu wengi waliosoma wakaishia kujiajiri.

Kocha wa michezo hafundishi mchezo bali maarifa au ujuzi wa mchezo.
 
Ndio! Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kudhani kwamba kumsomesha mtoto ndio jukumu lako kubwa .

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kusema kwamba ninakusomesha mali utajitafutia.

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kumwambie mtoto jitafutie kwani mimi nilitafutiwa na baba yangu?

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kuamini kwamba mtoto kupotia shuruba za kimaisa ndio kuimarika

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kudhani kwamba mtoto akimaliza chuo basi ametoboa

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kushindwa kutengeneza misingi bora ya kiuchumi kwa mwanao.

Ni utumwa wa kifikra kwa mzazi kutaka mtoto aishi maisha ya msoto eti kisa wewe ulipitia maisha hayo.

Ndio ni utumwa wa kifikra..
Hapana sio utumwa wa fikra Kwan MTOTO ana haki ya kupata elimu ...pia na ni moja ya jukumu la mzazi kumsomesha MTOTO kwani elimu ndio muongozo wa maisha .....hapa namaanisha both formal na informal education...
 
Wapo wazazi wengine ambao huwalazimisha wanao kuwasaidia/ kulipa fadhila baada ya wao kuwasomesha, na watoto wasipowasaidia wazazi huwatishia kuwalaani....huu nao Ni UTUMWA WA KIFIKRA
 
Back
Top Bottom