hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
Just say it mpenzi najua kwamba sio kila siku tuko wote positive on what we are thinking, just go ahead and say it
how sweet...
Just say it mpenzi najua kwamba sio kila siku tuko wote positive on what we are thinking, just go ahead and say it
:A S-cry::A S-cry::A S-cry:mi pia nina hamu,unaonaje tuvuliane Dena??:msela:
:coffee::coffee:mi pia nina hamu,unaonaje tuvuliane Dena??:msela:
HAYA BANA!......
tunaojua kusoma katikati ya mistari tumekuelewa!
Haya Bana!....
lakini mi nilisha kushauri finest.....''finest achana na huyo dem,finest achana nae kaka huyo dem sio mwenyewe,finest mshkaji wangu PIGA CHINI....''
we ukakataa...!unaona sasa?
UNAILAZIMISHA FURAHA SASA ...(kwa kuvumilia)
ni kweli kuvumilia ni vizuri - lakini - nimeona watu wengi wanavumilia - na maumivu hayo hugeuka "cancer" "ulcers" pressure etc.mmmhhhhhhhh
naogopa kusema neno.....
HAYA BANA!......
tunaojua kusoma katikati ya mistari tumekuelewa!
Haya Bana!....
lakini mi nilisha kushauri finest.....''finest achana na huyo dem,finest achana nae kaka huyo dem sio mwenyewe,finest mshkaji wangu PIGA CHINI....''
we ukakataa...!unaona sasa?
UNAILAZIMISHA FURAHA SASA ...(kwa kuvumilia)
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu...
Dude, any good newz???how sweet...
HAYA BANA!......
tunaojua kusoma katikati ya mistari tumekuelewa!
Haya Bana!....
lakini mi nilisha kushauri finest.....''finest achana na huyo dem,finest achana nae kaka huyo dem sio mwenyewe,finest mshkaji wangu PIGA CHINI....''
we ukakataa...!unaona sasa?
UNAILAZIMISHA FURAHA SASA ...(kwa kuvumilia)
We nawe huna dogo?? Tushapigia misitari tayari wewe unataka kuharibu issue nzima
Dude, any good newz???
Was wondering where were you all this timeMapungufu ya kibinadamu is just a mere excuse! Watu wengi wanapenda sana kulitumia neno hili, lakini mimi binafsi huwa silitumii...
Nikiwa kwenye mahusiano na mwanamke na akaanza kila kukicha maongezi yetu lazima yawe na neno "sorry" - I simply quit without serving.
Ukimlea Mjusi anaweza kuwa Mamba na kukumeza! Kuacha wangapi ni "relative term" - Mbona kila siku unanua suruali au shati jipya - the same rule should apply is "REAL WORLD"! Siwezi kulazimisha nafsi yangu kukaa na usongo wa mawazo kwa kisingizio kuwa kuna siku mwenza wangu atabadili - hiyo ndiyo mnaita uvumilivu - wakati sijazaliwa naye wala kulelewa naye, no. never
Mimi sina uvumilivu na sitakuwa na uvumilivu, hata kama ni kuwa na mahusiano elfu kumi before I'm six feet under, It is OK...
Waache wafu wazike wafu wenzao - usikae na kuishi na "mizoga" hoping that will be ressurected!
Michelle hapo juu control spidi kidogo tafadhali.....
Kweli nimeamini Msaada Hauna RISITI!KWANI hapa kinajadiliwa nin wakuu?....
as far as i know najua kwamba tunajadili kuilazimisha furaha kwa KUVUMILIA....!
Speed governor ime-expire.....hadi tukishalipa DOWANS ndo serikali italeta nyingine...
GY uhuru kwangu ndo una maana hiyo tafadhali usi-controll uhuru wangu....lol
Just say it mpenzi najua kwamba sio kila siku tuko wote positive on what we are thinking, just go ahead and say it
they say men dont give up.....but....
Kweli nimeamini Msaada Hauna RISITI!
Kweli nimeamini Msaada Hauna RISITI!