Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
unamkera seme hana namna. Vipi yeye akiamua kuvuta sigara nyota?
Wao wana haki nyingi ndo madai yao.....ukifanya kama yeye utasikia " I hate women who want to be men"..................
unamkera seme hana namna. Vipi yeye akiamua kuvuta sigara nyota?
Mkuu acha tu nimecheka huku balaawe kiboko
we kiboko
Mkuu signature yako huwa unaifanyia kazi
:clap2::clap2::clap2:Kweli kabisa....mi nikipiga vichupa vyangu viwili,akili na nguvu ya kufanya kazi za nyumbani baada ya uchovu wa kazi ndo inakuwepo...
Naipenda valuuu jamani......l.o.l
ww noma, sasa nambie nini atafanya akukere?
Ha ha ha ha lol!!!!:msela::msela:Mpwa hii signature yangu,
ndo inayonifanya niishi kwa amani mpaka leo,
fuata nyuki ule asali!
BTW: You can either take it or leave it!!!!!!
Kwenye kibokoYaani mi kiboko, kiboko kwenye nini tena...
Kweli kabisa....mi nikipiga vichupa vyangu viwili,akili na nguvu ya kufanya kazi za nyumbani baada ya uchovu wa kazi ndo inakuwepo...
Naipenda valuuu jamani......l.o.l
Ha ha ha ha haAkikereka na mavaluu yangu hapo atakuwa anataka kunikera
Kamata hizi kwanza
The Following 2 Users Say Thank You to Michelle For This Useful Post:
Ha ha ha ha ha
This message is sent by GY from Smart Vice of no Reason POWERED by Weweeeeee!!!!!
Kweli kabisa....mi nikipiga vichupa vyangu viwili,akili na nguvu ya kufanya kazi za nyumbani baada ya uchovu wa kazi ndo inakuwepo...
Naipenda valuuu jamani......l.o.l
Habari yake valuuuu??!!! Dah michelle umenipa hamu mie ahhh
Say something sweetheart pleasemmmhhhhhhhh
naogopa kusema neno.....
GY, Dena na Michelle wanachakachua umeona eheee Chaurommeanza kuchakachua kale kathread jamani
Eti Dena ukishindwa kumvumilia, si unamvulia tu mambo yananyooka au?