alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Hivi hata ktk hili hadi mh Rais alitolee kauli?!
Nchi yetu inazo nyenzo zote za kuweza kufunga taa za usiku mijini hadi vijijini. Nguzo tunazalisha wenyewe hapa kwetu, kwanini wataalamu wetu msilisimamie hilo?
Nchi ndogo kama Rwanda 99% ya miji na vijijini vyao wakati wa usiku hupendezeshwa sana na taa za mtaani.Kwa nini sisi tumeshindwa!
Kwa mfano, miradi yote ya barabara mkandarasi angewekewa kipengere cha kuweka na taa kila kijiji na miji na gharama zikajumlishwa katika malipo ya mradi husika.
Jamani jambo dogo kama hilo si lazima libuniwe na Rais Magufuli. Mengine ninyi wasaidizi wake jiongezeni!
Hatujachelewa sana-anzeni sasa.
Nchi yetu inazo nyenzo zote za kuweza kufunga taa za usiku mijini hadi vijijini. Nguzo tunazalisha wenyewe hapa kwetu, kwanini wataalamu wetu msilisimamie hilo?
Nchi ndogo kama Rwanda 99% ya miji na vijijini vyao wakati wa usiku hupendezeshwa sana na taa za mtaani.Kwa nini sisi tumeshindwa!
Kwa mfano, miradi yote ya barabara mkandarasi angewekewa kipengere cha kuweka na taa kila kijiji na miji na gharama zikajumlishwa katika malipo ya mradi husika.
Jamani jambo dogo kama hilo si lazima libuniwe na Rais Magufuli. Mengine ninyi wasaidizi wake jiongezeni!
Hatujachelewa sana-anzeni sasa.