technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Nimenyamaza sana ila naomba niongee ili swala la vitambulisho haiwezekani kila mtu akawa na kitambulisho mi nakataa
Polisi kwa kushirikiana na mgambo wanakamata vijana mtaani eti kisa vitambulisho vya elfu 20...
Mmeshindwa kutoa ajira kwa vijana sasa mnalazimisha kila mtu awe machinga ...
Vijana wamejaa mtaani kazi hakuna makampuni hayatoi kazi kwa sababu ya sera mbovu za utawala wa kidicteta na ubabe...
Vile viwanda viko wapi muwakamate vijana kuwapeleka kufanya kazi uko?
Ile milioni 50 kila kijiji iko wapi wapewe vijana ndio wawe machinga ..
Mtu hana hata mtaji yaani day waka kwa siku anatafuta buku 2 apate msosi kwa mama ntilie wewe unamkamata unamsumbua unamuweka ndani kwa sababu hana kitambulisho..
Mtu hana pesa ya kula ya kitambulisho anapata wapi ..
Magufuli acha kuonea vijana nakusema wewe kwa sababu wakuu wa mikoa na wilaya wanatekeleza matamshi yako ..
wanatesa vijana mtaani mimi nasema tupo kwenye nchi huru kila mtu awe na uhuru wake wa kufanya chochote bila kuingiliwa sio unamkuta kijana kakaa unampeleka police eti hana kitambulisho?..
Tunataka kutengeneza taifa la machinga upuuzi mtupu ninaposema hivi kuna vijana nimetoka leo kuwatoa ndani walikamatwa jana kisa hawana vitambulisho vya machinga ..
Huu ni upuuzi na ni hatari kwa usalama wa taifa acheni Longolongo wapeni vijana kazi, fungueni hivyo viwanda tuvione , toeni milion 50 kila kijiji ...
Huu utoto na laana ya kuwakamata wamama hadi wauza kalanga itawagarimu sana
Serikali hii inaonekana imelaniwa vilivyo.
Polisi kwa kushirikiana na mgambo wanakamata vijana mtaani eti kisa vitambulisho vya elfu 20...
Mmeshindwa kutoa ajira kwa vijana sasa mnalazimisha kila mtu awe machinga ...
Vijana wamejaa mtaani kazi hakuna makampuni hayatoi kazi kwa sababu ya sera mbovu za utawala wa kidicteta na ubabe...
Vile viwanda viko wapi muwakamate vijana kuwapeleka kufanya kazi uko?
Ile milioni 50 kila kijiji iko wapi wapewe vijana ndio wawe machinga ..
Mtu hana hata mtaji yaani day waka kwa siku anatafuta buku 2 apate msosi kwa mama ntilie wewe unamkamata unamsumbua unamuweka ndani kwa sababu hana kitambulisho..
Mtu hana pesa ya kula ya kitambulisho anapata wapi ..
Magufuli acha kuonea vijana nakusema wewe kwa sababu wakuu wa mikoa na wilaya wanatekeleza matamshi yako ..
wanatesa vijana mtaani mimi nasema tupo kwenye nchi huru kila mtu awe na uhuru wake wa kufanya chochote bila kuingiliwa sio unamkuta kijana kakaa unampeleka police eti hana kitambulisho?..
Tunataka kutengeneza taifa la machinga upuuzi mtupu ninaposema hivi kuna vijana nimetoka leo kuwatoa ndani walikamatwa jana kisa hawana vitambulisho vya machinga ..
Huu ni upuuzi na ni hatari kwa usalama wa taifa acheni Longolongo wapeni vijana kazi, fungueni hivyo viwanda tuvione , toeni milion 50 kila kijiji ...
Huu utoto na laana ya kuwakamata wamama hadi wauza kalanga itawagarimu sana
Serikali hii inaonekana imelaniwa vilivyo.