Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,756
- 13,856
Jamaa yangu amempata binti kutoka Tarime, walipatana kwa kukosea namba tu hawajawahi kuonana isipokuwa kuchati, kupigiana simu, video calls na kutumiana picha.
Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.
Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.
Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane
Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa
Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?
Ushauri wenu ni muhimu.
Jamaa anasema wamependana kweli mpaka wanatumiana sms za "sex chat" binti anasema wazazi wake hawataki aolewe, lakini yeye anataka kuolewa, kwa vile ameamua kuolewa basi jamaa amchukue waoane.
Jamaa amedata, na jinsi binti nae anavyoonekana kujali inaonekana kweli ni wife material kilichobaki ni binti atumiwe nauli aje.
Hapo ndo kwenye kasheshe jamaa anaogopa kutuma nauli, ila binti anasema kama hana nauli basi nikiipata nitakuja, jamaa anataka ajilipue, atume hiyo hela 35,000 binti aje waoane
Kuhusu kuwajulisha wazazi wake, atawajulisha akishafika kwa jamaa
Je, hapa jamaa atume nauli au asubiri binti atafute nauli aje mwenyewe, au aachane na mpango huo?
Ushauri wenu ni muhimu.