Ni tukio gani hutalisahau katika malezi ya mtoto kuanzia age 0?

Kumlaza mtoto chali wakati ukimlisha au kumywesha, ni hatari sana. Inatakiwa umweke kwenye hali ya kuinuka kidogo, ili chakula kishuke vizuri. But pia kuna kumlisha haraka haraka nalo pia ni tatizo. Mnaweza kuja kuua watoto.
Binafsi sitasahau Siku moja wakati namvalisha mwanangu akiwa na Miezi 3 baada ya kumuogesha nilishangaa maziwa yanatoka puani na mdomoni na hapo hapo mtoto akawa hawezi kupumua vizuri.

Nilipaniki nikakimbilia nje nkamtupia mama mmoja mtu mzima mtoto Huku Nikilia. Yule mama alinishauri tumpatie maji lakini bado mtoto aliendelea kukosa pumzi Huku mapovu yaliyochangamana na maziwa na mate mazito yanayovutika yakiendelea kutoka mdomoni na puani.

Nilikimbilia hospitali moja kwa moja mpaka chumba cha Daktari bila kupita mapokezi na kwa haraka sana wakachukua bomba flani flani za plastic wakazidumbukiza puani na mdomoni kwa wakati tofauti na kuanza kuvuta vyakula . Walipomaliza alipata sindano mbili akatulia.

Baada ya hapo walimlaza style ya recovery position na taratiiibu mtoto akapata nafuu nzuri tukaruhusiwa kurudi nyumbani.

Wewe ni tukio gani la kutisha lilikutokea wakati wa kulea mtoto mchanga Hadi alipojitambua na kuanza kuongea??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unaweza kumnyonya puani. Sasa ilichanganya na kupaliwa halafu mtoto mwenyewe muoga hatari anahangaika hakuna Mfano . Nilishauriwa kwamba mtoto hapaswi kuogeshwa Mara tu anapomaliza kulishwa au kunyonya unapaswa kumpumzisha Kama nusu saa au saa moja hivi ndipo aoge, na lingine la kuzingatia ni kumcheulisha mtoto kila baada ya mlo

Hii mada itatufunza mengi sana.
 
Nakumbuka alikuwa anstuka na kulia sana usiku. Analia dk 1anatulia then huyo tena.
Tukawa tunapeanazamu kulala. Kwenda Hospital hanatatizo . tumechangakiwa usiku hatulali .Siku ya NNE da! USAA unatoka sikioni
 
Wangu alikuwa mkimyaa ila mtundu akiwa na miaka 2 waliacha gate wazi akatoka akakuta bajaji ya wasambaza maziwa cowbell akapanda humo kimyaa bajaji ikaondoka mpka sinza huko sisi huku hekaheka nilikimbia peku mpka msikitini toa taarifa polisi Wana sema subirini masaa 24! Baba mtu nae anafikea Mimi yaani Kama Mungu Yule Bajaji akaanza kurudi ubungo alipo paki muda Kwa mangi aka wauliza Wana mjua ikawa afadhali! Hapo ni masaa 2 dogo hata Julia halii yaani sita sahau

Sent using Nokia mobile app[/url]
 
Wangu alikuwa mkimyaa ila mtundu akiwa na miaka 2 waliacha gate wazi akatoka akakuta bajaji ya wasambaza maziwa cowbell akapanda humo kimyaa bajaji ikaondoka mpka sinza huko sisi huku hekaheka nilikimbia peku mpka msikitini toa taarifa polisi Wana sema subirini masaa 24! Baba mtu nae anafikea Mimi yaani Kama Mungu Yule Bajaji akaanza kurudi ubungo alipo paki muda Kwa mangi aka wauliza Wana mjua ikawa afadhali! Hapo ni masaa 2 dogo hata Julia halii yaani sita sahau

Sent using Nokia mobile app[/url]
Hahha, baby's day out.. poleee ila somehow inafurahsha nikiimagine ilivyokua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sitasahau Siku moja wakati namvalisha mwanangu akiwa na Miezi 3 baada ya kumuogesha nilishangaa maziwa yanatoka puani na mdomoni na hapo hapo mtoto akawa hawezi kupumua vizuri.

Nilipaniki nikakimbilia nje nkamtupia mama mmoja mtu mzima mtoto Huku Nikilia. Yule mama alinishauri tumpatie maji lakini bado mtoto aliendelea kukosa pumzi Huku mapovu yaliyochangamana na maziwa na mate mazito yanayovutika yakiendelea kutoka mdomoni na puani.

Nilikimbilia hospitali moja kwa moja mpaka chumba cha Daktari bila kupita mapokezi na kwa haraka sana wakachukua bomba flani flani za plastic wakazidumbukiza puani na mdomoni kwa wakati tofauti na kuanza kuvuta vyakula . Walipomaliza alipata sindano mbili akatulia.

Baada ya hapo walimlaza style ya recovery position na taratiiibu mtoto akapata nafuu nzuri tukaruhusiwa kurudi nyumbani.

Wewe ni tukio gani la kutisha lilikutokea wakati wa kulea mtoto mchanga Hadi alipojitambua na kuanza kuongea??

Nimejikuta napata goosebumps!!

Naimagine namna ulivyochanganyikiwa,Mungu ni mwema alimuepusha na baya
 
Wangu alikuwa mkimyaa ila mtundu akiwa na miaka 2 waliacha gate wazi akatoka akakuta bajaji ya wasambaza maziwa cowbell akapanda humo kimyaa bajaji ikaondoka mpka sinza huko sisi huku hekaheka nilikimbia peku mpka msikitini toa taarifa polisi Wana sema subirini masaa 24! Baba mtu nae anafikea Mimi yaani Kama Mungu Yule Bajaji akaanza kurudi ubungo alipo paki muda Kwa mangi aka wauliza Wana mjua ikawa afadhali! Hapo ni masaa 2 dogo hata Julia halii yaani sita sahau

Sent using Nokia mobile app[/url]
Asee
 
Watoto wadogo kuwalea inahitaji umakini sana. Ndiyo mana mama mwacheni aitwe mama tu. Kama mtt mchanga ukikosea tu wkt wa kumnyonyesha unaweza kumuua kwa kumziba pua zake kutokana na jinsi ulivyoliweka ziwa lako. Au akapaliwa maziwa.

Na pia wkt wa kumuogesha kuna mtindo wake wa kumuogesha ukikosea tu bs umeharibu na umemsababishia matatizo mtt. Akiwa mdg hujui km anaumwa nini maana hasemi. Lkn mama unatakiwa ukisie apa mtt anaweza akawa anaumwa ichi au ichi. Mama ni mama asikwambie mtu.

Mimi mama angu ana alama mpk leo niliomsababishia mimi wkt wa kuokoa maisha yng. Tena almanusura apate ajali. Na mie mwenyw mpk leo nna alama kwa paja sbb ya iyo ajali. Hajasahau mpk leo. Nampenda sn mama angu.

The Most Winner
 
Watoto wadogo kuwalea inahitaji umakini sana. Ndiyo mana mama mwacheni aitwe mama tu. Kama mtt mchanga ukikosea tu wkt wa kumnyonyesha unaweza kumuua kwa kumziba pua zake kutokana na jinsi ulivyoliweka ziwa lako. Au akapaliwa maziwa.

Na pia wkt wa kumuogesha kuna mtindo wake wa kumuogesha ukikosea tu bs umeharibu na umemsababishia matatizo mtt. Akiwa mdg hujui km anaumwa nini maana hasemi. Lkn mama unatakiwa ukisie apa mtt anaweza akawa anaumwa ichi au ichi. Mama ni mama asikwambie mtu.

Mimi mama angu ana alama mpk leo niliomsababishia mimi wkt wa kuokoa maisha yng. Tena almanusura apate ajali. Na mie mwenyw mpk leo nna alama kwa paja sbb ya iyo ajali. Hajasahau mpk leo. Nampenda sn mama angu.

The Most Winner

Mkuu share na sisi mtoto anaogeshwajee??
 
Mmmmhhh wangu nilimpa ndizi mbivu ya kupika ikamuumiza tumbo alilia balaaa saa sita za usiku tulienda kumtafutia dawa famasi ndo ikawa afadhali yetu......sijampa tena ndizi mbivu ya kupika mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh pole sana! Hospital walikwambia chanzo cha hiyo shida ilikua ni nini??

Alipomaliza kunyonya hakupaswa kuogeshwa mda ule ule, nilipaswa kumtuliza kwanza kwa mda wa nusu saa au zaidi ndipo aogeshwe. Pia nisisahau kumcheulisha mtoto kila Mara amalizapo kunyonya
 
Mimi mwanangu ndio alikuwa ametimiza siku 7 yaani wiki toka azaliwe. Usiku saa 6 nimemnyonyesha nikamlaza ile nageuka nakuta anatoa maziwa na mapovu mdomoni na puani. Mungu tuu anajua vile nilichanganyikiwa. Usiku huo huko tukatoka na baba yake kumkimbiza hospitali umbali mrefu sana ( Kiseke hadi kamanga hospital Nyegezi) wenyeji wa Mwanza wanajua umbali wake. Watoto wana changamoto sana jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom