ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 558
- 257
*Taifa ambalo mabinti wakimuona mzungu
wanadhan ana hela
*Taifa ambalo ukiongea kingereza umesoma sana
*Taifa ambalo ukiwa na simu nzuri we mjanja japo
vocha za jerojero
*Taifa ambalo waliofeli wanakuwa walimu na mapolice
*Taifa ambalo m2 kwao hawana umeme ila
analalamikia tanesco wanaboa
*Taifa ambalo warembo wameshaona wao ni
wakupewa daima
*TAIFA ambalo vijana wanalalamika hawana hela mpe dili analeta longolongo
*Taifa ambalo UKIWA NA GARI HUTONGOZ UNATOA 2
LIFTI KI2 Shaaaaaaaaa!!
*Taifa ambalo mwanafunzi anafaulu huku hajui
kusoma wala kuandka.
ENDELEZA Taifa ambalo...................................
wanadhan ana hela
*Taifa ambalo ukiongea kingereza umesoma sana
*Taifa ambalo ukiwa na simu nzuri we mjanja japo
vocha za jerojero
*Taifa ambalo waliofeli wanakuwa walimu na mapolice
*Taifa ambalo m2 kwao hawana umeme ila
analalamikia tanesco wanaboa
*Taifa ambalo warembo wameshaona wao ni
wakupewa daima
*TAIFA ambalo vijana wanalalamika hawana hela mpe dili analeta longolongo
*Taifa ambalo UKIWA NA GARI HUTONGOZ UNATOA 2
LIFTI KI2 Shaaaaaaaaa!!
*Taifa ambalo mwanafunzi anafaulu huku hajui
kusoma wala kuandka.
ENDELEZA Taifa ambalo...................................