Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 3,573
- 4,849
Najiuliza ikiwa mode of operation ya viongozi wetu ni kuukataa ukweli uliodhahiri na kupoteza muda kwenye uongo na.uzushi utamaduni huu umwfanyika kwa muda.mrefu kiasi gani.
Ukisikiliza hoja zilizoleta msuguano maandamano vurugu za Mo29 ni za ukweli lakini viongozi wote wanazikataa waziwazi na kwa kuzunguka kwenye hoja za ajabu mara foreign agents. Wivu wa jirani yetu kiuchumi na kukataa kabisa kusema maiti kiasi gani zimezalishwa
Ukisikiliza hoja zilizoleta msuguano maandamano vurugu za Mo29 ni za ukweli lakini viongozi wote wanazikataa waziwazi na kwa kuzunguka kwenye hoja za ajabu mara foreign agents. Wivu wa jirani yetu kiuchumi na kukataa kabisa kusema maiti kiasi gani zimezalishwa