Ni Sheria ipi ina mruhusu kiongozi wa TUCTA kugombea nafasi ya uongozi CCM?

Gidamaa

Member
Aug 31, 2013
9
13
Umuofia kwenu

Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.

Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je, Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
 
Umuofia kwenu
Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.
----------------------------------
Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa ?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
Unatakiwa kujua kwamba hao ni vibaraka wa fisiem

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Walimu au viongozi wa chama cha walimu?
Sheria inazuia mtumishi wa umma kugombea nafasi ya siasa!

Lakini kuna watumishi kibao ni wajumbe wa kamati za siasa za kata, wilaya na mkoa, wengine ni wajumbe wa halmashauri za CCM wilaya, mkoa hadi Taifa!

Sasa mtumishi wa umma kuwa mjumbe wa UDP, CDM, au CUF uone moto wake
 
Umuofia kwenu
Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.
----------------------------------
Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa ?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
Hivi mfanyakazi wa TUKTA naye ni mtumishi wa uma?
 
Umuofia kwenu
Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.
----------------------------------
Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa ?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
TUCTA ni chama cha wafanyakaz na sio serikali hivyo viongozi wa vyama vya wafanyakazi wako huru kugombea nafasi zozote za kisiasa.

Hata watumishi wa umma wako huru kugombea nafasi zozote za uongozi, ila anachukua likizo bila malipo, akipata uongozi, anajiuzulu utumishi wa umma.

Ibara ya 5 ya katiba ya Tanzania inatoa haki ya kupiga kura kwa kila Mtanzania aliyetimiza umri wa miaka 18. Haki hiyo ya kupiga kura ilipaswa kwenda sambamba na haki ya kupigiwa kura.

Haki ya kupigiwa kura imetolewa na Ibara ya 21 ya katiba ya Tanzania ila ikaja kuporwa na ibara ya 39 na 67 ambazo zinataka lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa!. Hii ni kinyume cha katiba, kinyume cha sheria, kipengele hiki najis kimeingizwa kiubarmtili ndani ya katiba ya Tanzania Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

Maadam Samia ni msema haki na mtenda haki, hili tumemfikishia Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
 
TUCTA ni chama cha wafanyakaz na sio serikali hivyo viongozi wa vyama vya wafanyakazi wako huru kugombea nafasi zozote za kisiasa.

Hata watumishi wa umma wako huru kugombea nafasi zozote za uongozi, ila anachukua likizo bila malipo, akipata uongozi, anajiuzulu utumishi wa umma.
P
Paschal, I suggest you argue like a learned lawyer, you are a real lawyer too. Chama cha wafanyakazi kinaundwa na wafanyakazi, kuwa kiongozi wa chama cha wafanyakazi hakumwondoi mtu kuwa mfanyakazi. Hizi cheap politics zinatuharibia sana na zinasababisha double standard na uvunjaji wa sheria. All in all, CCM inaharibu sana na nie ndio wana ccm mnaotetea uvunjwaji wa sheria
 
TUCTA ni chama cha wafanyakaz na sio serikali hivyo viongozi wa vyama vya wafanyakazi wako huru kugombea nafasi zozote za kisiasa.

Hata watumishi wa umma wako huru kugombea nafasi zozote za uongozi, ila anachukua likizo bila malipo, akipata uongozi, anajiuzulu utumishi wa umma.

Ibara ya 5 ya katiba ya Tanzania inatoa haki ya kupiga kura kwa kila Mtanzania aliyetimiza umri wa miaka 18. Haki hiyo ya kupiga kura ilipaswa kwenda sambamba na haki ya kupigiwa kura.

Haki ya kupigiwa kura imetolewa na Ibara ya 21 ya katiba ya Tanzania ila ikaja kuporwa na ibara ya 39 na 67 ambazo zinataka lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa!. Hii ni kinyume cha katiba, kinyume cha sheria, kipengele hiki najis kimeingizwa kiubarmtili ndani ya katiba ya Tanzania Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

Maadam Samia ni msema haki na mtenda haki, hili tumemfikishia Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
Hujui unachokitetea.
 
TUCTA ni chama cha wafanyakaz na sio serikali hivyo viongozi wa vyama vya wafanyakazi wako huru kugombea nafasi zozote za kisiasa.

Hata watumishi wa umma wako huru kugombea nafasi zozote za uongozi, ila anachukua likizo bila malipo, akipata uongozi, anajiuzulu utumishi wa umma.

Ibara ya 5 ya katiba ya Tanzania inatoa haki ya kupiga kura kwa kila Mtanzania aliyetimiza umri wa miaka 18. Haki hiyo ya kupiga kura ilipaswa kwenda sambamba na haki ya kupigiwa kura.

Haki ya kupigiwa kura imetolewa na Ibara ya 21 ya katiba ya Tanzania ila ikaja kuporwa na ibara ya 39 na 67 ambazo zinataka lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa!. Hii ni kinyume cha katiba, kinyume cha sheria, kipengele hiki najis kimeingizwa kiubarmtili ndani ya katiba ya Tanzania Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

Maadam Samia ni msema haki na mtenda haki, hili tumemfikishia Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P

Haya maelezo ni ya kisheria, ambazo wala hazitekelezwi. Ukiwa mwanaccm uko juu ya sheria. Na kwa mahakama hizi zinazoagizwa jinsi ya kutoa hukumu, usitegemee hata ukishitaki kuna lolote la maana litafanyika. Kwa ujumla mfumo wetu wa sheria umanajisiwa na uwepo wa CCM.
 
Umuofia kwenu

Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.

Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je, Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
Sidhani kama kuwa kiongozi Tucta kunakuzuia kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Wakili msomi Pascal Mayalla msaada hapa.
 
Umuofia kwenu

Napenda kufahamishwa ni sheria ipi inayompa ruhusa Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA Kugombea nafasi ya uongozi CCM.

Cornel Boniphace Magembe ni Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA kwa Sasa ila pia amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kupitia wilaya ya Magu, na Nafasi ya Ujumbe Halmashauri kuu CCM Mkoa wa Mwanza..

Swali langu,

Je, Kiongozi wa Taasisi yoyote ya Umma akiwa madarakani anaruhusiwa Kugombea nafasi ya uongozi katika chama Cha siasa?

Naomba wajuvi wa sheria na katiba ya TUCTA mnijuze ili kukuza uelewa wa hili jambo

Je TUCTA itaweza kutetea Maslahi ya wafanyakazi kweli kama Watendaji wake ni Wanachama wa Chama Cha Siasa.?
Ndiyo maana hawashughuliki na matatizo ya wananchama wao zaidi ya kula posho nono na kuwapa tshirt hawa wananchama wapumbafu
 
Mwaka huu watumishi wengi wa umma waliruhusiwa kugombea na wameshinda nafasi nyingi za kisiasa ndani ya ccm. Ccm ndo kinara wa kuvunja katiba
 
TUCTA ni chama cha wafanyakaz na sio serikali hivyo viongozi wa vyama vya wafanyakazi wako huru kugombea nafasi zozote za kisiasa.

Hata watumishi wa umma wako huru kugombea nafasi zozote za uongozi, ila anachukua likizo bila malipo, akipata uongozi, anajiuzulu utumishi wa umma.

Ibara ya 5 ya katiba ya Tanzania inatoa haki ya kupiga kura kwa kila Mtanzania aliyetimiza umri wa miaka 18. Haki hiyo ya kupiga kura ilipaswa kwenda sambamba na haki ya kupigiwa kura.

Haki ya kupigiwa kura imetolewa na Ibara ya 21 ya katiba ya Tanzania ila ikaja kuporwa na ibara ya 39 na 67 ambazo zinataka lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa!. Hii ni kinyume cha katiba, kinyume cha sheria, kipengele hiki najis kimeingizwa kiubarmtili ndani ya katiba ya Tanzania Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

Maadam Samia ni msema haki na mtenda haki, hili tumemfikishia Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
Mwalimu wangu Mwal. Mkoba amegombea mara mbili Ubunge akiwa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kupitia Chadema. Ushahidi upo.
 
Back
Top Bottom