Ni Serikali au CCM ndio inayonuka DAMU?

Ni Serikali au CCM ndio inayonuka DAMU?

Kazi ya kumchafua zitto imewashinda mmehamia kuichafua serikali kazi mnayo.

Zitto hachafuliwi na mtu ila ni yeye mwenyewe ndio anajipaka maji machafu (sewage) kwa umamluki wake, watu wanaongea ukweli wala hawamchafui
 
Naona kwa sasa POLISI ndio inaongoza kuuwa watu wakifuatiwa na ajali za barabarani
 
Serikali ikininuka damu ujuwe ndo ccm inanuka damu,huwezi kutenganisha hata kidogo.Serikali inatoka kwenye chama.CCM ikifanya mauwaji,basi chama na serikali wako responsible kwasababu serikali ina majukumu ya kusimamia usalama wa raia.Endapo serikali ndo inanuka damu,basi ccm pia nao wako responsible kwasababu ndo wanaunda serikali na pengine mauwaji hayo ni ya kuwalinda wabaki madarakani.
 
vijana wa buku 7 embu oneni damu hiyo ya binadamu wenzetu ilivyofanywa kwa maagizo ya chama chenu cha CCM, hembu kila mmoja hapo alipo atulie kwa dakika moja tu kutafakari juu ya familia za hao marehemu ama kwamba wawe ni ndugu jamaa au rafiki, na mjitazame na hizo buku 7 mnazochukua, tafakari!!!!!!

CHACHA WANGWE hakustahili adhabu ile, kutofautiana misimamo ni kawaida kwenye jamii, ndio mumuondoe? yeye mwenyewe alishaona uenyekiti umeshindikana kwa ajili ya jiografia ya eneo analotoka, sasa mlimwondoa ya nini?
 
Mkuu.

hao jamaa sidhani kama wanaweza kuelewa ulicho andika maana huwa wanafikiria kwa kutumia matumbo. kutumia Akili kwenye hoja kama hii ni sawa na kutegemea nyeupe kutoka kwenye mkaa.

Kamanda Mtoi.
Hawa ndio viongozi wa CCM. Unjaua huyo Ze Marcopolo anataka ubunge, sasa akingia mjengoni sio ndio wakina Nkamia au Lusinde na matusi ya hovyo hovyo??.
MwanaDiwani ni mjumbe wa NEC lakini hoja zake anazojenga hazina mashiko hata kidogo.

Hizo hoja ulizoweka hapo juu naamini hata mwenyekiti wa chama cha CCM hawezi zijibu, ndomana kashindwa kujibu ujumbe alotumiwa na CHADEMA kuhusu uchunguzi huru.
Sasa kituko kingine ona, Dr Sengondo Mvungi kashambuliwa na kuibiwa pesa na laptop yake, kamanda Kova anaweka lotion na picha za kofia kuwa wamekamata watuhumiwa, picha ninayopata ni kuwa uchunguzi utagubikwa na ubabaishaji.

Kwa kweli Watz lazima tujilaumu kwa kuiweka CCM madarakani 2010 ila tusirudie tena kuwapigia kura CCM, kuanzia Bungeni hadi Magogoni
 
CHACHA WANGWE hakustahili adhabu ile, kutofautiana misimamo ni kawaida kwenye jamii, ndio mumuondoe? yeye mwenyewe alishaona uenyekiti umeshindikana kwa ajili ya jiografia ya eneo analotoka, sasa mlimwondoa ya nini?
hivi ndivyo nilivyoijibu ID ya chama kipya.
ntakuwa mwendawazimu nikiendelea kujibizana na kinuka mkojo, kinuka chupi, kisambadu, kichamba na umande.
 
Last edited by a moderator:
huo unafiki unaukweli gani kwa hili.

Ukweli unatokana na polisi kutowakamata wahusika na hatawanaokamatwa mahakama haiwakuti na hatia na wanaachiwa huru. Siku ya kiama hivyo vitu vya ncha kali vitaumbua watu.
 
Kamanda Mtoi.
Hawa ndio viongozi wa CCM. Unjaua huyo Ze Marcopolo anataka ubunge, sasa akingia mjengoni sio ndio wakina Nkamia au Lusinde na matusi ya hovyo hovyo??.
MwanaDiwani ni mjumbe wa NEC lakini hoja zake anazojenga hazina mashiko hata kidogo.

Hizo hoja ulizoweka hapo juu naamini hata mwenyekiti wa chama cha CCM hawezi zijibu, ndomana kashindwa kujibu ujumbe alotumiwa na CHADEMA kuhusu uchunguzi huru.
Sasa kituko kingine ona, Dr Sengondo Mvungi kashambuliwa na kuibiwa pesa na laptop yake, kamanda Kova anaweka lotion na picha za kofia kuwa wamekamata watuhumiwa, picha ninayopata ni kuwa uchunguzi utagubikwa na ubabaishaji.

Kwa kweli Watz lazima tujilaumu kwa kuiweka CCM madarakani 2010 ila tusirudie tena kuwapigia kura CCM, kuanzia Bungeni hadi Magogoni

Kama atapata kwa hoja zake tutegemee replacement ya Lusinde mpya bungeni. Huyu anaweza kuchoma wahonjwa wake sindano za ng'ombe.
 
Back
Top Bottom