Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Wakuu.
Mwaka jana rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania alipokuwa anahutubia wajumbe wa kamati kuu ya CCM alikionya chama chake kuacha kutumia Polisi na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na nguvu ya CHADEMA. Raisi alipotoa kauli hiyo tayari wanachama kadhaa wa CHADEMA walikuwa washauwawa kwenye harakati za chama chao katika maeneo kadhaa ikiwemo Arusha, Mwanza, Morogoro, na Tabora.
Mauwaji haya yanatafsirika kama mauwaji yaliyofanywa nje ya ridhaa na mamlaka ya mahakama yaani "Extra Judicial Killings". (Extra Judicial Killings can be defined as deliberately killing not authorized by a previous judgement pronounced by a regularly constituted court affording all the judicial guarantees which are recognized as indispensable by civilized peoples".
Kwa bahati mbaya rais alipo kuwa anatoa agizo la CCM kutokutegemea Polisi kwa wajumbe wa CCM, tayari CHADEMA walisha muandikia barua ya kumuomba aunde tume huru ya kimahakama itakayo ongozwa na majaji ili kuchunguza vifo vyenye utata vilivyo tokea kwenye maeneo kadhaa hapa nchini ikiwemo kwenye mkutano yao, kwa bahati mbaya tarifa za ndani nilizo kuwa nazo ambazo hata viongozi kadhaa wa CHADEMA walisha wahi kulalamika hadharani ni kwamba rais hakuwahi kuwajibu barua yao iliyokuwa na hitaji hilo la msingi kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.
Mauwaji ya watanzania wenzetu yametokea huku sheria zikikataza mtu yoyote kuondosha uhai wa mtu mwingine au kupanga kuondosha kwa sababu yoyote ile iwayo. Na kama ikitokea mtu yoyote kusababisha kifo cha mtu mwingine basi mtu huyo moja kwa moja anakuwa na kesi ya mauwaji. "Any person who with malice aforethought, causes the death of another person by an unlawful act or mission is guilty of the murder".
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wamehusika kwa namna moja au nyingine kutoa matamko au vitisho au hata kuhusika na mawauwaji ya raia au wanachama wa vyama vingine, mfano kiongozi wa CCM kule Arumeru ilidhibitika kuwa alishiriki kumuuwa kiongozi wa CHADEMA (Msafiri Mbwambo) kwa kumkata shingo kwa msumeno wa kukatia mbao lakini baada ya kukamatwa baadae akatorokoa kwenye eneo la mahakama akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wenye silaha na mpaka sasa hakuna hatua au dalili ya kukamatwa kwake. Inasemekana uliachwa upenyo wa yeye kutoroka mbele ya Polisi kwa hila ili kukiepusha chama chake na tope la uchafu wa mauwaji.
Lakini pia kuna kauli ambazo zinaweza kutafsirika kama mission, ambazo zimesha wahi kutolewa kwenye hadhara na viongozi kadhaa wa CCM na baadae mauwaji yakatokea tena katika eneo hilohilo lakini hakuna kiongozi yoyote wa CCM ambaye alisha wahi kuhojiwa kwa kauli zake kutokana na mauwaji yaliyotokea. Mfano siku moja kabla ya kulipuliwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA pale uwanja wa AICC ambapo watu 3 waliuwawa kwa mabomu na risasi, kiongozi wa CCM (Mwingulu Nchemba) alishatoa kauli inayo tafsirika kama kauli iliyo sababisha mauwaji kwa kusema "...WATAKAO CHAGUA UPINZANI WATAKUFA..." na kesho yake wakafa watu 3 kwenye kuhitimisha kampeni za chama pinzani (CHADEMA).
Kwenye kitabu cha kituo cha sheria na haki za binadamu cha 2012 "HUMAN RIGHT REPORT 2012" UK 21 wameorodhesha matukio yaliyosababisha mauwaji nje ya mamlaka ya mahakama, na mauwaji haya unaweza kutafsiri kuwa yanaifanya serikali ya CCM inuke damu au serikali yenye viongozi wanao tembea huku matone ya damu yanamwagika kwenye viganja vya mikono yao.
Kwa mwaka 2012 kuanzia Januari hadi Disemba orodha ya watu waliouwawa kwa kuonyesha Mwezi, Mahali na Mhusika ni kama ifuatavyo:
KWA ORODHA HII NI SERIKALI AU CCM NDIO INAYONUKA DAMU?
Mwaka jana rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania alipokuwa anahutubia wajumbe wa kamati kuu ya CCM alikionya chama chake kuacha kutumia Polisi na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na nguvu ya CHADEMA. Raisi alipotoa kauli hiyo tayari wanachama kadhaa wa CHADEMA walikuwa washauwawa kwenye harakati za chama chao katika maeneo kadhaa ikiwemo Arusha, Mwanza, Morogoro, na Tabora.
Mauwaji haya yanatafsirika kama mauwaji yaliyofanywa nje ya ridhaa na mamlaka ya mahakama yaani "Extra Judicial Killings". (Extra Judicial Killings can be defined as deliberately killing not authorized by a previous judgement pronounced by a regularly constituted court affording all the judicial guarantees which are recognized as indispensable by civilized peoples".
Kwa bahati mbaya rais alipo kuwa anatoa agizo la CCM kutokutegemea Polisi kwa wajumbe wa CCM, tayari CHADEMA walisha muandikia barua ya kumuomba aunde tume huru ya kimahakama itakayo ongozwa na majaji ili kuchunguza vifo vyenye utata vilivyo tokea kwenye maeneo kadhaa hapa nchini ikiwemo kwenye mkutano yao, kwa bahati mbaya tarifa za ndani nilizo kuwa nazo ambazo hata viongozi kadhaa wa CHADEMA walisha wahi kulalamika hadharani ni kwamba rais hakuwahi kuwajibu barua yao iliyokuwa na hitaji hilo la msingi kwa mustakabali wa amani ya nchi yetu.
Mauwaji ya watanzania wenzetu yametokea huku sheria zikikataza mtu yoyote kuondosha uhai wa mtu mwingine au kupanga kuondosha kwa sababu yoyote ile iwayo. Na kama ikitokea mtu yoyote kusababisha kifo cha mtu mwingine basi mtu huyo moja kwa moja anakuwa na kesi ya mauwaji. "Any person who with malice aforethought, causes the death of another person by an unlawful act or mission is guilty of the murder".
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wamehusika kwa namna moja au nyingine kutoa matamko au vitisho au hata kuhusika na mawauwaji ya raia au wanachama wa vyama vingine, mfano kiongozi wa CCM kule Arumeru ilidhibitika kuwa alishiriki kumuuwa kiongozi wa CHADEMA (Msafiri Mbwambo) kwa kumkata shingo kwa msumeno wa kukatia mbao lakini baada ya kukamatwa baadae akatorokoa kwenye eneo la mahakama akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wenye silaha na mpaka sasa hakuna hatua au dalili ya kukamatwa kwake. Inasemekana uliachwa upenyo wa yeye kutoroka mbele ya Polisi kwa hila ili kukiepusha chama chake na tope la uchafu wa mauwaji.
Lakini pia kuna kauli ambazo zinaweza kutafsirika kama mission, ambazo zimesha wahi kutolewa kwenye hadhara na viongozi kadhaa wa CCM na baadae mauwaji yakatokea tena katika eneo hilohilo lakini hakuna kiongozi yoyote wa CCM ambaye alisha wahi kuhojiwa kwa kauli zake kutokana na mauwaji yaliyotokea. Mfano siku moja kabla ya kulipuliwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA pale uwanja wa AICC ambapo watu 3 waliuwawa kwa mabomu na risasi, kiongozi wa CCM (Mwingulu Nchemba) alishatoa kauli inayo tafsirika kama kauli iliyo sababisha mauwaji kwa kusema "...WATAKAO CHAGUA UPINZANI WATAKUFA..." na kesho yake wakafa watu 3 kwenye kuhitimisha kampeni za chama pinzani (CHADEMA).
Kwenye kitabu cha kituo cha sheria na haki za binadamu cha 2012 "HUMAN RIGHT REPORT 2012" UK 21 wameorodhesha matukio yaliyosababisha mauwaji nje ya mamlaka ya mahakama, na mauwaji haya unaweza kutafsiri kuwa yanaifanya serikali ya CCM inuke damu au serikali yenye viongozi wanao tembea huku matone ya damu yanamwagika kwenye viganja vya mikono yao.
Kwa mwaka 2012 kuanzia Januari hadi Disemba orodha ya watu waliouwawa kwa kuonyesha Mwezi, Mahali na Mhusika ni kama ifuatavyo:
| JINA | MWEZI | MAHALI | MSABABISHI |
| 1. JACKSON BHOKE | JAN | NYAMONGO | POLISI |
| 2. MGOYO MGOYO | JAN | MUSOMA RURAL | POLISI |
| 3. MIPAWA SAMWELI | FEB | MUSOMA RURAL | SUNGUSUNGU |
| 4. TUNGURA WANSIMBA | FEB | NYAMONGO | MINE SECURITY OFFICER |
| 5. THEODAT NGONYANI | FEB | BOMBAMBILI | POLISI |
| 6. MOHAMEDI SAID | FEB | BOMBAMBILI | POLISI |
| 7. ALLY SAID | FEB | BOMBAMBILI | POLISI |
| 8. HASAN MGALU | MACHI | URAMBO | POLISI |
| 9. SAIDI MSABAHA | MACHI | MBEYA | POLISI |
| 10. SANYIWA NDAHYA | MACHI | MORO | TPDF |
| 11. NGEREBENDE NCHAMBI | MACHI | ULANGA MORO | TPDF |
| 12. KASHINJE MSHESHIWA | MACHI | ULANGA MORO | TPDF |
| 13. KULWA LUHENDE | MACHI | ULANGA MORO | TPDF |
| 14. LUTALA NDAHYA | MACHI | ULANGA MORO | TPDF |
| 15. SELEMANI MSHAWEJI | MACHI | ULANGA MORO | TPDF |
| 16. JOSEPH CHACHA | MAY | NYAMONGO | MINE SECURITY OFFICER |
| 17. DANIEL NSIMBA | MAY | NYAMONGO | MINE SECURITY OFFICER |
| 18. MGOSI MAGIGE CHACHA | JUNE | NYAMONGO | MINE SECURITY OFFICER |
| 19. JUMA JAMSON | JUNE | SERENGETI | TANAPA SCOUTS |
| 20. KUMTANGE JUSARIO | JUNE | ARUSHA | MWIBA SECURITY GUARD |
| 21. ALLY ZONA | JULY | MOROGORO | POLISI |
| 22. DAUDI MWANGOSI | SEPT | NYOLOLO- IRINGA | POLISI |
| 23. PAUL SAVYA | OCT | NYAMONGO | POLISI |
| 24. RODGERS MWITA | OCT | NYAMONGO | POLISI |
KWA ORODHA HII NI SERIKALI AU CCM NDIO INAYONUKA DAMU?