Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Habari JF
Siku za hv karibuni nimekuwa active member wa vikao vya harusi. Si unajua tena unapokuwa na vijana wa miaka 20 na kuendelea kuwekeza kwenye hii saccoss ni muhimu! Haya bana ndo hivyo!
Kilichonishangaza humu ni kila maarusi takribani 5 hv kwa mwaka huu woooooooote walikuwa tayari wako 3. Yaani Baba, Mama na Kichanga chao. Nilipodadisi nikaambiwa siku hizi ni SHAKE WELL BEFORE USE. Ikabidi nianze kutafuta maana halisi maana ningeuliza palepale wangeniona huyu wa LONG TIME nini! Kumbe jamaa siku hizi wanaangalia kaa mamsap anaouwezo wa kuijaza dunia. Je ni sawa hivyo?
Siku za hv karibuni nimekuwa active member wa vikao vya harusi. Si unajua tena unapokuwa na vijana wa miaka 20 na kuendelea kuwekeza kwenye hii saccoss ni muhimu! Haya bana ndo hivyo!
Kilichonishangaza humu ni kila maarusi takribani 5 hv kwa mwaka huu woooooooote walikuwa tayari wako 3. Yaani Baba, Mama na Kichanga chao. Nilipodadisi nikaambiwa siku hizi ni SHAKE WELL BEFORE USE. Ikabidi nianze kutafuta maana halisi maana ningeuliza palepale wangeniona huyu wa LONG TIME nini! Kumbe jamaa siku hizi wanaangalia kaa mamsap anaouwezo wa kuijaza dunia. Je ni sawa hivyo?