Ni sawa kwani yeye ana cheo na analipwa mshahara as"FIRST LADY"hivyo king'ora kwake ni haki!!Nipo katika mkutano na nimeshangaa kuona akija na msafara wa king'ora na magari ya serikali, ni sawa hii? Nawasilisha
Nipo katika mkutano na nimeshangaa kuona akija na msafara wa king'ora na magari ya serikali, ni sawa hii? Nawasilisha
Nipo katika mkutano na nimeshangaa kuona akija na msafara wa king'ora na magari ya serikali, ni sawa hii? Nawasilisha
Nipo katika mkutano na nimeshangaa kuona akija na msafara wa king'ora na magari ya serikali, ni sawa hii? Nawasilisha
Kuwa First Lady sio cheo ni tittle. Hata mkeo nyumbani kwako ni first lady. Hakuna mshahara wowote anaolipwa First Lady.Ni sawa kwani yeye ana cheo na analipwa mshahara as"FIRST LADY"hivyo king'ora kwake ni haki!!
Nipo katika mkutano na nimeshangaa kuona akija na msafara wa king'ora na magari ya serikali, ni sawa hii? Nawasilisha
Mbona Mama Mkapa hakuwa na kitu kama hicho?
Mbona Mama Mkapa hakuwa na kitu kama hicho?