Fahari ya kusini
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 427
- 1,668
Nashangazwa Sana yaani utakuta jitu kubwa au au mtu mtu mzima kabisa na ndevu sake anaenda kwa mchungaji au padri eti kuungama dhambi zake yaani unaenda kuconfess dhambi zako kwa mwanadamu mwenzio sasa sio kama vituko ni nini? Je huyo padri au mchungaji anaenda kuungama dhambi zake kwa Nani? Kwamba yeye padri anaungama au anaongea na Yesu direct?
Mwanaume mzima au mtu mzima na akili zake unapiga magoti kwenye kiangamio halafu mwanaume anakusikiliza tu ukitaja dhambi zako ulizofanya sasa kama sio ujinga ni nini? Halafu hii sio sawa huu ni utumwa wa fikra kabisa..
Mwanaume mzima au mtu mzima na akili zake unapiga magoti kwenye kiangamio halafu mwanaume anakusikiliza tu ukitaja dhambi zako ulizofanya sasa kama sio ujinga ni nini? Halafu hii sio sawa huu ni utumwa wa fikra kabisa..