Ni sawa kwa Mama Tunu Pinda?

Ni sawa kwa Mama Tunu Pinda?

Status
Not open for further replies.
UK waziri mkuu alikuwa mwanamke,mume wake akatumia peni na karatasi za ofisi ya waziri mkuu kwa shuguli zake akatupwa jela miaka kazaa.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Watu wengine bongolala sana yaani wameshabadilisha muktadha wa thread hii ili ioneka mtoa mada eti amepinga Mama pinda kwenda kwenda na gari ya serikali au gari ya hadhi yake msibani, thread iko wazi kabisa kuwa kwanini atumue gari lenye nembo ya serikali ambayo hutumiwa na viongozi wakuu wa nchi? Yeye si kiongozi wa nchi! Mbona mna fikra makengeza!!?

Acha jazba, rudia kusoma ulichoandika then hoji ' itifaki' inasemaje kuhusu uwakilishi wa Waziri mkuu kwenye Msiba huo.
 
Kwenda kwa Mama Pinda na gari ya serikali kwenye msiba wa Kanumba tena lenye nembo ndiyo kumesababisha TZ iwe na uchumi mbaya duniani?Safari hiyo ya Mama Pinda na gari hii ndiyo kumesababisha tusiwe na umeme wa uhakika,madawa kwenye hospitali zetu,kufeli kwa vijana wetu,dubious contracts;migomo ya wafanyakazi na matatizo mengine mengi yanayotukabili?

Mm naona tumeacha kujadili matatizo yetu makubwa yanayotukabili na sasa tunaanza kujadili vitu vidogo vidogo sana ambavyo SIO NDIYO VIMETUFIKISHA KTK HALI MBAYA HII YA UCHUMI!CCM wanafurahia sana tukiacha kujadili issues!
 
UK waziri mkuu alikuwa mwanamke,mume wake akatumia peni na karatasi za ofisi ya waziri mkuu kwa shuguli zake akatupwa jela miaka kazaa.

...thibitisha tafadhali,...ni waziri mkuu yupi na mwaka gani yalitokea hayo,
otherwise unazungumzia udaku wa kijiweni.
 
Nimepitia blogu ya Michuzi na kuona Mama Pinda akiwa kwenye msiba wa Steve Kanumba. Lakini vilevile Mama Pinda kaenda pale akiwa kwenye gari ambayo ikiwa na nembo ya Taifa ambayo inatumiwa na Raisi au Waziri Mkuu. Je ni haki kwa mke wa Waziri mkuu au Raisi kutumia gari iliyo na nembo ya Taifa wakati wenyewe hawana hadho hiyo?

View attachment 51318

attachment.php
Naona hatari kubwa hapo watu wamejikusanya karibu kabisa na transformer. Inabidi manispaa ya KInondoni ije kuwaondoa kwa kuwa ni eneo hatarishi kama Ubungo.
 
Kwa mfano waziri mkuu angekuwa mwanamke harafu mume wake aende na gari lake msibani namna hiyo ingekuwaje?. Just curious..
Mkuu hii sijui nayo inakaaje? Natamani tupate PM mwanamke halafu awe ni mke wangu nami niwe natanua na jigari lenye nembo kwenye mabaa na misiba. Yaani itakuwa ni full kujiachia.
 
UK waziri mkuu alikuwa mwanamke,mume wake akatumia peni na karatasi za ofisi ya waziri mkuu kwa shuguli zake akatupwa jela miaka kazaa.
Tuombe Waryoba alikumbuke hili ili uwekwe utaratibu wa first ladies na first gents!
 
Watu wengine bongolala sana yaani wameshabadilisha muktadha wa thread hii ili ioneka mtoa mada eti amepinga Mama pinda kwenda kwenda na gari ya serikali au gari ya hadhi yake msibani, thread iko wazi kabisa kuwa kwanini atumue gari lenye nembo ya serikali ambayo hutumiwa na viongozi wakuu wa nchi? Yeye si kiongozi wa nchi! Mbona mna fikra makengeza!!?

Mkuu hawa wametumwa na mbwana zao kuja kujibu hoja, lazima magogoni wameshaambiwa kunapost inayowaponda huku. Kunawatanzania wanaotumika kama vijiko, yani kazi yao ni kuhakikisha mafisadi wa rasli mali za nchi zanaliwa ilihali wao na ndg zao wanateseka. Hakuna hasara kama kuwa na ubongo kama wa samaki.
 
Mkuu hawa wametumwa na mbwana zao kuja kujibu hoja, lazima magogoni wameshaambiwa kunapost inayowaponda huku. Kunawatanzania wanaotumika kama vijiko, yani kazi yao ni kuhakikisha mafisadi wa rasli mali za nchi zanaliwa ilihali wao na ndg zao wanateseka. Hakuna hasara kama kuwa na ubongo kama wa samaki.

....'mabwana' zao ni kiashiria cha inferiority capacity of thoughts....
stick to the rules za jf, jibu hoja kwa hoja...
mama Tunu keshawahi tumia mpaka ndege ya serikali,
it's all about protocol...na hii ipo nchi nyingi duniani,
uwakilishi wa kiongozi. Soma itifaki inasemaje.
 
Huyu mama na PM ni system aka nyoka aka TISS kipindi kirefu.

Tanzania tuna regulations za wapi magari haya yanaweza kutumiwa na wapi hayawezi? Kwa kazi za kishushushu kujichanganya na wananchi inatakiwa, hata kwa nembo, hata kwenye msiba, hata kwa mke wa Waziri Mkuu.

Asingetokea napo tungesema "Msiba wa Kanumba hakuna hata gari la serikali" labda wakaona kwa kuwa wakuu wako busy, mamaa anaweza kuwakilisha.

Kuongelea matumizi ya magari ya serikali kabla hujaongelea mambo ya msingi kwa nchi kama Tanzania ni overkill.

Alternative mtataka mama aendeshe ki Datsun cha mtoto wa mkulima, kikwame kwenye mashimo ya uswazi, muanze kulaumu "kwa nini hajachukua gari ya hakika ya serikali?"

Hapo mlikuwa mnaonyeshwa tu kwamba "uongozi wa juu wa serikali uko hapa".

Umepoteza muda kuandika jibu refu, lakini hujui swali la hoja ni nini; kinachojadiliwa si gari alilokwenda nalo msibani, bali kutumia NEMBO YA TAIFA badala ya namba zingine za kawaida kwenye gari.
 
Kwenda kwa Mama Pinda na gari ya serikali kwenye msiba wa Kanumba tena lenye nembo ndiyo kumesababisha TZ iwe na uchumi mbaya duniani?Safari hiyo ya Mama Pinda na gari hii ndiyo kumesababisha tusiwe na umeme wa uhakika,madawa kwenye hospitali zetu,kufeli kwa vijana wetu,dubious contracts;migomo ya wafanyakazi na matatizo mengine mengi yanayotukabili?

Mm naona tumeacha kujadili matatizo yetu makubwa yanayotukabili na sasa tunaanza kujadili vitu vidogo vidogo sana ambavyo SIO NDIYO VIMETUFIKISHA KTK HALI MBAYA HII YA UCHUMI!CCM wanafurahia sana tukiacha kujadili issues!

Kwa maana nyingine kupotea kwa maadili katika utendaji na uvunjaji wa taratibu siyo tatizo la kujadili? Huna habari kuwa yote uliyoyataja yalianza kwa kupuuzwa misingi ya kimaadili katika uwajibikaji?
 
Umepoteza muda kuandika jibu refu, lakini hujui swali la hoja ni nini; kinachojadiliwa si gari alilokwenda nalo msibani, bali kutumia NEMBO YA TAIFA badala ya namba zingine za kawaida kwenye gari.

Nishakujibu kwamba hilo gari lenye nembo limetumika makusudi kuwaonyesha wazi watu kwamba kuna ujumbe wa familia ya PM hapa, hawakukosa shangingi la STK hawa watu wana magari kama wewe ulivyo na suruali labda.

Mwishowe utasema Waziri Mkuu asipande kwenye gari lenye nembo na mkewe, mkewe amfuate nyuma anajiendesha kwenye ki-Datsun.
 
Umepoteza muda kuandika jibu refu, lakini hujui swali la hoja ni nini; kinachojadiliwa si gari oalilokwenda nalo msibani, bali kutumia NEMBO YA TAIFA badala ya namba zingine za kawaida kwenye gari.

umesema nembo ya taifa....na liko kwa wananchi..whats wrong with that??
 
Mama ni VIp na hawezi enda mahali na usafiri tofauti na huo kwa ajili ya usalama wake. Kunamambo mengi makubwa na madogo lakini sio kitu kama hichi. Njaa Gani hizi?

you mean alienda kama deligate wa serikali?au alienda kama mwananchi wa kawaida?
Kwani hana bodygurds pale kwa mzee pinda hamna hata ka rav4 ambako wanakatumia kwa shughuli binafis kama hizi.au kwa kuwa wanatumia mafuta ya bure.
 
serikaali inapokosa jambo la kimaendeleo la kuonesha itashika hadi tawi la mti ...hapo wataenda wote mke wa pinda ,mke wa kiwete, na kiwete mwenyewe....

kimsingi akiwa kwenye shughuli rasmi mke wa waziri mkuu na makamu wana haki ya kutumia nembo yA ikulu kwenye gari...
 
....'mabwana' zao ni kiashiria cha inferiority capacity of thoughts....
stick to the rules za jf, jibu hoja kwa hoja...
mama Tunu keshawahi tumia mpaka ndege ya serikali,
it's all about protocol...na hii ipo nchi nyingi duniani,
uwakilishi wa kiongozi. Soma itifaki inasemaje.

Swali langu ni fupi tu kwako,je yule mama alikuwa anawakilisha serikali pale msibani? Je ile nembo inaruhusiwa kutumiwa na mke wa waziri mkuu,pasipokuepo yeye? Vipi na mtoto au mjukuu wake kesho akilitumia protokali inaruhusu? Swali hapo ni,kwa nini atumie nembo inayotumika kwa viogozi wa juu tu. Swala hapo ni kwamba,aliomba atumie gari la pm,dereva akasaau,au kwa maksudi akaicha nembo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom