Ni sawa dokta kumrudisha mjamzito wa week 42 nyumbani??

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,558
45,876
Kuna jirani yetu ni mjamzito .yuko week ya 42 hajapata dalili zozote za kuzaa na mtoto yuko poa.
Dokta kasema asubirie tu nyumbani?? Ni hizi goverment hosptal.ni sawa wakuu?? Nimemuambia sio sawa maana hata muhimbili tu ukifika week 36 wanaanza kudili na wewe huwezi toboa hata week 38. anasema sasa afanyeje na ni mimba ya kwanza hana uzoefu.
 
Mbwembwe kibao mtandaoni kumbe mnajifungulia zahanati za serikali.
Usichokijua ni kwamba asilimia kubwa ya ma Dr kwenye private hospitals wanatokea government hospitals, ujinga ni mzigo

Back to the topic: Week 42 maana yake ni miezi 10 na week 2, anapaswa kuzalishwa ASAP na ukiangalia ndio mimba ya kwanza, mambo kama haya mara unamkosea mtoto hivi hivi.

Hao ma Dr wamempa ushaur Gani? Sidhani kama wanaweza kumwambia tu nenda nyumbn bila kumpa ushaur wowote.
 
Kuna jirani yetu ni mjamzito .yuko week ya 42 hajapata dalili zozote za kuzaa na mtoto yuko poa.
Dokta kasema asubirie tu nyumbani?? Ni hizi goverment hosptal.ni sawa wakuu?? Nimemuambia sio sawa maana hata muhimbili tu ukifika week 36 wanaanza kudili na wewe huwezi toboa hata week 38. anasema sasa afanyeje na ni mimba ya kwanza hana uzoefu.
Mlete ahapa akatoe maelezo ya kutosha. Huo ni umbeya
 
Usichokijua ni kwamba asilimia kubwa ya ma Dr kwenye private hospitals wanatokea government hospitals, ujinga ni mzigo

Back to the topic: Week 42 maana yake ni miezi 10 na week 2, anapaswa kuzalishwa ASAP na ukiangalia ndio mimba ya kwanza, mambo kama haya mara unamkosea mtoto hivi hivi.

Hao ma Dr wamempa ushaur Gani? Sidhani kama wanaweza kumwambia tu nenda nyumbn bila kumpa ushaur wowote.
Mwenyewe nimeshangaa mkuu week 42 ni nyingi mno .ninemshauri arudi hosp anasema yuko poa anasubiria .naona ni very risk
 
Kuna jirani yetu ni mjamzito .yuko week ya 42 hajapata dalili zozote za kuzaa na mtoto yuko poa.
Dokta kasema asubirie tu nyumbani?? Ni hizi goverment hosptal.ni sawa wakuu?? Nimemuambia sio sawa maana hata muhimbili tu ukifika week 36 wanaanza kudili na wewe huwezi toboa hata week 38. anasema sasa afanyeje na ni mimba ya kwanza hana uzoefu.
Mkuu acha upotoshaji mwanamke anajifungua week ya 40 kawaida ila ikifika week ya 41 ndio inaangaliwa means nyingine either ku_induce labor au c-section na sio week 36 kama ulivyoongopa hapo. Ila hiyo ya week ya 42 nadhani huyo doctor atakua na sababu za msingi maana sio kawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom