na kama inatoka sana pia kunyonya kwa mdomo huko kwa mpenzi wako ndio safi kwani unakuwa unajiongezea damu kama una anaemia (upingufu wa damu)
Ewwwwwwwwwww! Yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuck!😛uke:
na kama inatoka sana pia kunyonya kwa mdomo huko kwa mpenzi wako ndio safi kwani unakuwa unajiongezea damu kama una anaemia (upingufu wa damu)
Samahani wapendwa,hivi kuna madhara gani kufanya mapenzi ukiwa katika siku zako kwa wote female na male?
Kwani mkifanya hizo siku kuna uwezekano wa mimba?Kuna baadhi ya akina mama ambao inaweza kuwalazimu kufanya tendo la ndoa wakiwa kwenye siku zao ili waweze kupata ujauzito. Hawa ni wale ambao mzunguko wao ni siku14.
Uchafu sawa,magonjwa gani unapata?Uchafu, magonjwa, kinyaa...nini kingine?!!huuh
Kiukweli kabisa haina tatizo kama imeshapungua isiwe zile siku ambazo inatoka nyingi sana. Kwa kawaida kama siku ya tatu na kuendelea haina noma kabisaaaa!! Cha muhimu ni kumfuta mwenzio mapema nawe kunawa na kuvaa pedi tena mapemaaaaaa!! Kama mnakinai sana damu basi jioshe na maji ya mchele inatulia kidogo kwa muda!! tena unajua wakati wa siku zako huko chini kunakuwa kwa motoooo. Na kama inatoka kidogo unaweza kufanya bila hata mwenzi wako kujua