NI SAHIHI WAFRICA KUITWA MASIKINI NA WASIOJIWEZA WAKATI WATU WANAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,199
3,592
Leo wakati nasikiliza BBC SWAHILI kukikuwa kuna mjadala unazungumzia bara la AFRICA.

Lakini wakati nikisikiliza uchambuzi kutoka hawa wenzetu wanasema bara la africa ni bara linachambuliwa kuwa ni bara la watu MASIKINI, WASIOJIWEZA NA WAZEMBE ?

SASA mimi najiuliza inakuwaje tunaitwa masikini wakati kila nikiamka asubuhi naona watu wanajenga majumba mazuli, watu wanamiliki magari mazuli, watu watu wanafanya kazi asubuhi na usiku,....

Je inakuwaje wafrica tunaitwa watu masikini, wazembe na wasiojiweza ?
 
Kuna mambo wanajaribu kutudharau na sisi tumekazania hapo hapo bila kujua kuwa wanaotuita masikini kabla ya kuja huku tulikuwa na mambo yetu tofauti na kikubwa kabisa furaha na huzuni vilikuwepo kama ilivyo kwao!

Hebu angalia mfano huu hai:
Nchi inapanga bajeti ya trillion 30 wakati inachoweza kujikusanyia ni trillion 12, ukichambua matumizi halisi unakuta zaidi ya trillion 10 ya hizi ni matumizi ya viyoyozi, V8. suti na manukato and the like mradi na sisi tuweze 'kufanana fanana' na hao wanaotuita wazembe. Na kibaya zaidi kuna kiasi cha kuwashugulikia watakaotaka kuchambua na kuwaeleza wananchi wenzao ukweli huu!

Cha kushangaza katika kuitekeleza hiyo bajeti unakuta tumefanikiwa kwa asilimia 45% - 55% lakini mwaka unaofuatia unaweka tena bajeti ya trillion 35 ili kucomply na theory ya kuwa 'think bigger'.

Sasa kutokana na mfano huu ni kwa nini tusi plan kwa kutumia billion 12 ambazo tuna uhakika wa kuzikusanya na kama kuna ziada tuipangie matumizi badaa. Hudhani kwamba hii hoja ndio wanaitumia pia kutudharau hivi!?
 
Sisi sio masikini wala sio wazembe hakuna sehemu ambayo imeyafanya mabara mengine ulimwenguni kutajirika kama afrika ila elimu tumenyimwa kwa makusudi nihilo linatufanya turudi nyuma na kujiona masikini na wazembe
 
Inahuzunisha mno, pamoja na juhudi zote tufanyazo bado tunaitwa nchi za ulimwengu wa tatu..hatujaendelea
 
Umasikini wetu ulianza pale walipoua local industry zetu.. Nakuamini kila kinachotoka ulaya ni kizuri hapo ndipo tulipo karibisha kudharauliwa.
Ninadhani ujamaa ulichangia kuleta laziness affair mamenager hawakujali hasara kwakuwa ilikuwa mali ya umma. Capitalisim is built upon competition and reward on good achivers
 
Ninadhani ujamaa uluchangia kuleta laziness affair mamenager hawakujali hasara kwakuwa ilikuwa mali ya umma. Capitalisim is built upon competition and reward on good achivers
Kuna jamaa alijifungia usiku kucha magogoni kupitia majina ya timu yake!!
Ona sasa timu yenyewe ilivyo!!
Maboko kibao!!!!
Bashite ndani!
Bora tusifanye kazi usiku kuepuka aibu hii aliyotuonyesha jpm
 
kwani nini tafsiri ya neno "maskini"...?

umaskini ni matokeo haijalishi unafanya kazi mda mrefu kiasi gani ila matokeo ndo yataonyesha! wanatuita maskini kwasababu ndio matokeo wanayoyaona.. sasa nijukumu letu kujua kwanini tunafanya kazi usiku na mchana hlf bado ni maskini..?
inaonekana kuna mambo yanayojitokeza mpk kupata matokeo hayo.. maana watu wanaweza kuwa kweli wanafanya kazi lkn wanaenda kuishia kwenye starehe,unyonywaji wa kile wanachokipata ama ujinga wao n.k so kwa vitu kama hivi unaweza kupata tokeo la umaskini!
 
Yote yamesababishwa na hawa watetea vitambi vyao
Huko madarakan
 
Kuna jamaa alijifungia usiku kucha magogoni kupitia majina ya timu yake!!
Ona sasa timu yenyewe ilivyo!!
Maboko kibao!!!!
Bashite ndani!
Bora tusifanye kazi usiku kuepuka aibu hii aliyotuonyesha jpm
kweli mkuu!!! waafrika tumenyimwa elimu na elimu ya kujitambua sisi ni nani tunaenda wapi tutafikaje tuendako
 
Hio ni destruction method iliyotumiwa na whites kuhrbu viwanda badala yke tmkuwa dependent for every thing hata toothpick na mistimu tnaagiza
 
Leo wakati nasikiliza BBC SWAHILI kukikuwa kuna mjadala unazungumzia bara la AFRICA.

Lakini wakati nikisikiliza uchambuzi kutoka hawa wenzetu wanasema bara la africa ni bara linachambuliwa kuwa ni bara la watu MASIKINI, WASIOJIWEZA NA WAZEMBE ?

SASA mimi najiuliza inakuwaje tunaitwa masikini wakati kila nikiamka asubuhi naona watu wanajenga majumba mazuli, watu wanamiliki magari mazuli, watu watu wanafanya kazi asubuhi na usiku,....

Je inakuwaje wafrica tunaitwa watu masikini, wazembe na wasiojiweza ?


Afrika si masikini ila sisi ni wazembe kwani ni sie wenyewe tunaowachaguwa viongozi na kuwapa fursa ya kutuibia. Uzembe wetu pia unatufanya tushindwe kuandamana na kuwachukulia hatua marais wezi kama kina Mkapa, JK.....we need uprising kuwashikisha adabu hawa marais na kubadilisha katiba ndipo tutapata uhuru wa ukweli na kujikomboa na umasikini. Bila ya haya, kamwe tutabaki kuwa watumwa na masikini. Haiwezekani rais analiibia taifa hela kujinufaisha yeye na familia yake alafu wananchi wanabaki masikini na kuridhika, tumekuwa waarab wasiojitambua?
 
Back
Top Bottom