Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
Kulingana na wana saikolojia wa ndoa...Umri wa kuoa/kuolewa ni pale mtu anapokuwa tayari
Tunatofautiana utayari,
Wengine wanakuwa tayari wakiwa kwenye 20's,
Wengine wakiwa 30's,40's
Ni maamuzi tu.
Acheni kutusakama wadada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke umri mzuri wa kuolewa ni 25 - 28
Mwanaume umri mzuri wa kuoa ni 28 - 32.
Chini ya hapo, akili huwa haijapevuka vya kutosha kukabili mambo ya ndoa.
Zaidi ya hapo, Yale mambo unayofanya umri ukienda zaidi yanaweza kua ndio kasoro kwenye ndoa (Eg:- kuna na X wengi)
#YNWA