MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Hii haina fomula inategemea mnaishije na mkeo if your friends mtafuliana bila kujali nani kaanza kuoga na if mnaishi kwa principles za mume na mke hii itakuwa agenda....but ni kitu simple sana kwa wanao ishi kwenye ndoa ya upondo.
samahn we umeoa kaka !