Unamkuta kabisa mwanaume anaona bafuni ameacha boxer kwenye ndoo hii ni haki kweli? Kwanini Maudie boxer na ma kufuli yenu?
Pamoja na kuwa haifiki dakika kumi kufua kwanini mwanaume asifue mwenyewe? Hamfahamu kuwa yuko katika dunia ya haki sawa?Kwani ni dhambi kumfulia mume boxer? Beki tatu ndiye aifue Best? Kuna vitu vingine ni vidogo vidogo sana ndani ya ndoa/mahusiano havistahili haya kulalamika. Kufua boxer haifiki hata dakika 10 hili nalo ni kulalama Best? Nauliza tu.
Pamoja na kuwa haifiki dakika kumi kufua kwanini mwanaume asifue mwenyewe? Hamfahamu kuwa yuko katika dunia ya haki sawa?
Unamkuta kabisa mwanaume anaona bafuni ameacha boxer kwenye ndoo hii ni haki kweli? Kwanini Maudie boxer na ma kufuli yenu?
Show some love to your dude, baby girl!
Kama uwezo upo tunanunua itaongeza zaidi ufanisi kweny usafiTununue washing machine basi
Sasa ndo unaionea kinyaa boxer ya mumeo?...wajibika ulijenge penziTununue washing machine basi
Sasa kama Mmama mzima unalialia kuhusu kufua boxer ya mumeo....je hawa toleo la 2000 watakuwaje?Tununue washing machine basi
Sakayo unaijua haki ya ndoaNi moja ya majukumu ya mwanamke... Na ni namna nyingine ya kuonyesha upendo pia....
Kwanini njema isijifunze kufua mwenyewe? Si ana mikono? Haya mambo ya michepuko si mna jua kuna magonjwa yasiyopona?Haya Best kuna mchepuko huko unafua boxer bila kulalama tena unadai kwanini ufue boxer na mimi nipo hapa. Wakati mwingine vitu vidogo vidogo kama hivyo vinajenga ukaribu wa kufa mtu. Njemba inaona mchepuko wala hatii neno kufua boxer ya njemba wakati yule mama chanja atatoa maneno utadhani kufua boxer mikono itakatika.
Sina uhakika kama naijua
The issue here ni kitu kinachowafanya wasifue nini?Sasa kama Mmama mzima unalialia kuhusu kufua boxer ya mumeo....je hawa toleo la 2000 watakuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app