Kwan wewe unaitafuta haki sawa utaipata lini kama huamin tembea kifua wazi ukiweza tutaanzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli!!!!Kwan wewe unaitafuta haki sawa utaipata lini kama huamin tembea kifua wazi ukiweza tutaanzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashaka na wewe..uanamke wako uko wapi kama unashindwa kumjali mumeo badala yake unakomalia vitu visivyo vya msingi na kusahau wajibu wako kwa mume wako?!!! Be serious mkuuI salute you
unataka azifue nan sasa ??beki tatu au??Unamkuta kabisa mwanaume anatoka bafuni ameacha boxer kwenye ndoo hii ni haki kweli? Kwanini nimfulie boxer na ma kufuli yenu?
Sky ... Hujafikishwa peak n kukunwa vzur nn hv karibuni?Wa
Wakumbuke magonjwa pia
Raha iliyoje... Tho wangu hapend nimfulieBasi tupeane zany na yeye awe a afya za kwangu
Nhm, uuwaji huu!Kama ni upendo basi na mimi niweke zangu Tena zile za kwenye safari to the moon afue