Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,655
Nimemsikia kiongozi wa mbio za mwenge Capt Mwanosi? wakati wa habari za jioni Star TV saa 9, akiwashambulia wale wote wanaopita "kuwadanganya" wananchi kwamba serikali haijafanya kitu. Kwamba hao hao hupita kwenye barabara hizo hizo zilizojengwa na Kikwete, kwamba hata wanapoumwa wakakosa huduma hapa nchini hurudi kuipigia magoti serikali ya Kikwete iwapeleke India, kwamba hata watoto wao wanasoma katika shule za kata zilizojengwa na Kikwete.
Mtazamo wangu: Naona kama haya ni mambo ya kisiasa zaidi na hayapaswi kuzungumziwa na Jeshi kwa vile jeshi letu halihusiani na siasa.
Mtazamo wangu: Naona kama haya ni mambo ya kisiasa zaidi na hayapaswi kuzungumziwa na Jeshi kwa vile jeshi letu halihusiani na siasa.