Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,332
Akizungumza huko Karagwe kwenye Kongamano la Mwenge wa Uhuru, Askofu huyo amesema kwamba lengo la kuanzishwa kwa Mbio za Mwenge wa Uhuru lilikuwa ni kumulika watu wabaya, wezi wa mali za Umma, walanguzi na wala siyo kuwamulikiw njia ili waibe vizuri.
---
Ujumbe wake umebeba mambo muhimu sana hasa kipindi hiki.
---
Ujumbe wake umebeba mambo muhimu sana hasa kipindi hiki.