Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Huw inanogesha sana upendo.
Halina tabu ni dalili ya UpendoSioni kama kuna ubaya kama mwenye nguo zake hana shida
Sasa chupi zangu zilivyo kubwa kubwa utaweza kuzivaa my dear?Sioni kama kuna ubaya kama mwenye nguo zake hana shida
Kweli but haina nouma, me nguo zangu atupie tu ila akumbuke kufuaUbaya ni kuwa mume hawezi kujipiga na magauni ya mkewe
Ndio mkuuUko sawa kabisa mkuu ....hao tayari ni mwili mmoja..
Jaman haya mbona mapya kwangu......wakati mimi navaa mpk boxa za mrKwa mtazamo wa kiimani ya dini ya kiislamu si sahihi.sio kwa mwanamke tu Bali hata mwanaume