Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau nawasalimu nimekuwa anafuatilia matangazo ya maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Uhuru kupitia TBC.
Kinachonishangaza ni watangazaji wa TBC wanatangaza kuwa tunaadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania. Kama haitoshi kuna mc hapo uwanjani nae anatangaza kuwa ni sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara
Najiuliza hivi hawa TBC kwanini wanapotosha umma ? Hivi hawa watangazaji hawajui kuwa ni Tanganyika ndio ilikuwepo mwaka 1961?
Je, tarehe 9 Desemba 1961 nchi ya Tanzania ilikuwepo?
Na huyu mc anasema Uhuru wa Tanzania bara hiyo nchi ipo?
Tafadhalini tbc huo ni upotoshaji wa wazi
Miaka 60 ni ya uhuru wa nchi ya Tanganyika na wala sio Tanzania au Tanzania Bara.
Kinachonishangaza ni watangazaji wa TBC wanatangaza kuwa tunaadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania. Kama haitoshi kuna mc hapo uwanjani nae anatangaza kuwa ni sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara
Najiuliza hivi hawa TBC kwanini wanapotosha umma ? Hivi hawa watangazaji hawajui kuwa ni Tanganyika ndio ilikuwepo mwaka 1961?
Je, tarehe 9 Desemba 1961 nchi ya Tanzania ilikuwepo?
Na huyu mc anasema Uhuru wa Tanzania bara hiyo nchi ipo?
Tafadhalini tbc huo ni upotoshaji wa wazi
Miaka 60 ni ya uhuru wa nchi ya Tanganyika na wala sio Tanzania au Tanzania Bara.