Ni sahihi kumfanyisha mkeo kazi za ndani ilihali na yeye ni mwajiriwa

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
 
Sio sahihi kwa mujibu wa usawa wa kijinsia.
Screenshot_2023-09-19_104832.jpg
 
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
Wewe na hao wanawake mnatofauti gani mkuu,nahisi unaongelea wanawake wenzio

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa anayetoa mahari ni mwanaume, mwanamke hana mamlaka yeyote ndani ya ndoa.
Ukristo hauruhusu mwanaume afanyishwe kazi wakati mke yupo labda kama mume wake amependa kufanya.
Mke lazima apike. Mke lazima afue, n.k ila kama anafanya kazi, ni busara kumuwekea msichana wa kazi ili kumsaidia majukumu. Kama hataki msichana wa kazi, azifanye hizo kazi.
 
Kazi zenyewe basi ni za maana basi mpaka ukapiga kelele ,mbona wanaume wanaishi bachelor na kufanya na kufanya shughuli zote.


Kuna cha ajabu umeamka labda sitting room hapoko safi unasafisha na mambo mengi za shughuli za nyumbani zinapungua kadri mnavyokuwq wasafi ...Ndio maana nyumba za kisasa hazina kazi sana sio nyie ukimaliza kula sufuria unarundika mpaka kesho wakati non stick hata ugali unaosha fasta hapo ,ikitokea uchafu unasafisha hapo hapo fasta.

Hakuna kazi kwa sana na mnaishi vizuri tu labda vijijini sijui kuchota maji ,kukata kuni ....Kama unajiweza jipinde hata mashine inafua nguo fasta na sasa kuna viroboti vya kichina hata 300k havifiki vinaweza kupiga deki .


Kimjini mjini hata uwe na mke wa Nyumbani kazi hakuna usidanganywe ,kwamba wewe leo ukiona uchafu huondoi mpaka umuite mkeo?

Mbona familia kibao hata uswahilini kila mtu anaosha chombo chake kuepuka mapanya kwa kurundika vyombo vichafu.
 
Kama anaona anateseka ana option 2
  1. Aombe nimpandishe cheo na nimtafutie msaidizi (awe mke mkubwa)
  2. Aachane na masuala ya ndoa a concentrate kwenye kazi zake
 
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
Umeamua kuwa feminist brother
 
kumsaidia mwenzio kazi mara mojamoja sio mbaya,unaweza kudeki yeye akafua ama ukafue yeye akapika ama kuchota maji

Majukumu yote ya nyumban n ya mwanamke unless alemewe kuwe na sababu ya kupata housegal vingnevyo huyo atakua mvivu utajenga kizazi dhaifu
 
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
Kama kuna kitu kitaninyima ndoa basi hili swala la mama kuwa house girl nyumbani kwake, na swala la mwaume kuendelea kuishi kibachela ndani ya ndoa.
Kazi za ndani nizakisaidiana mama mnavyotaka tutafute pesa basi mjue kusaidia kazi za ndani.
 
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
humfanyishi hizo anafanya tu mwenyewe 🤓
 
Umeandika pumba sana hazifai hata kulisha kuku, yaani umeandika mapururu, wapi mwanamke anafanyishwa kazi? Usafi,kupika,kuchota maji? Kwani hayo maji anakuchotea wewe halafu anaenda kwao?huo usafi anakufanyia wewe baada ya hapo anarudi kwao? Hizo nguo anafua zako tu za kwake hafui??

Halafu ukiona wewe hizo kazi ni ngumu kwako na unaona kuolewa ni mateso usiolewe endelea kudanga ila usituharibie wake zetu waliofundishwa vizuri na wanatimiza majukumu yao vizuri tu ili hali wameajiriwa na hatujawahi sikia wamelalamika. Nke wangu anajisikia furaha anaponihudumia yaani siwezi vaa nguo ambayo haijanyoshwa la sivyo nitachelewa safari yangu lazima anyosheee, anafurahia akipika chakula nikamsifia chakula kitamu, ole wangu be nile uchochoroni na sijawah msikia analalamika kuchoshwa au kuhitaji kulipwa na ni muajiriwa. Usituharibie wake zetu bwana wengine wamelelewa vizuri kwao
 
Wakuu kwema..

Sisi wanaume tulivyo umbwa hapo mwanzo tulipewa majukumu na utawala mkuu , Mwenyezi Mungu akaona kazi aliyo mpa adamu katimiza na adamu hana wa kumsaidia akaona siyo vyema akae peke yake akamletea msaidizi ambaye ndiye mwanamke

Nakumbuka sana kabla adamu hakuletewa msaidizi alipewa kazi na kazi zilikua ni juu ya adamu ( mwanamume) .

Kwa kizazi cha sasa hawa wasaidizi wetu wamegeuka kuwa wafanyakazi na wakati mwingine kubeba majukumu makubwa ya kifamilia pale anapo dondokea kwa mwanaume mvivu na marioo..

Fikiria asubuhi unatoka na yeye anatoka kutafuta . Wote mnarudi nyumbani mmechoka

Mwanaume unaangaika na na Tv, mara vijiwe vya kahawa, mara bar, mara sijui kucheza draft, mara ushike katoto ukashangae wapita njia barabarani ili hali ndani umemuacha msaidizi wako ambaye naye kachoka kama wewe na katoka kutafuta

Ume mwacha apike, akufulie, asafishe nyumba ,mara akachote maji tena hapo fikiria maji yanapatikana mbali na huu umeme unavyo sua sua hata hutaki kumsindikiza , una mwacha apite mwenyewe gizani gizani..


Fikiria hapo bado anazamu za usafi na majirani wenzake au kama mmejenga bado afikirie uwani pawe pasafi wewe mwanaume upo tuu unazurura huku na huko alafu ukidinda una mwambia inama unapump pump tuu bila kujali lolote


Msaidizi wako akikuambia ana umwa au amechoka hutaki kusikia unaona kama anakubani kukufunulia mapaja na mwishowe basi unamuwekea michepuko kadha wa kadha.

Je, sisi wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho na ikumbukwe kabla ya kuletewa msaidizi tulipewa kazi na kazi zote zilikua za kwetu wanaume, Mbali zaidi wao walicho ambiwa ni kuzaa kwa uchungu natukaambiwa tuwapene na tuishi nao kwa akili huku wao wa kiamriwa utii sasa kuwafanyisha hizo kazi za ndani ni sahihi ukizingatia na yeye ni mwajiriwa na anafanya kazi na kuingiza kipato kama wewe?

Je, wanawake wakidai malipo au wakitushitaki juu kwa mujibu wa vitabu vya imani zetu wakalia tunawatesa na majukumu mazito tutapona au tutaangamia wanaume?
Haina haja kama hela zipo
Mfanyakazi atafanya hizo kazi
 
Umeandika upumbavu huu kijana wangu.
Hebu rudia kusoma hicho ulichoandika na kama ulikuwa na akili zako timamu basi kuna tatizo sehemu.
 
Back
Top Bottom