Nakupata ndugu yangu....sasa kwa uzoefu wako na kwafaida ya watu wengine wasiojua kama mimi ipi ni nzur? Maana umeniambia zipo zenye kupokea cm card . Zipo sijui zenye kupokea memory card nk...ipi nzur na iwe brand gan1. Zipo senye uwezo wa kupokea sim card
2. Karibia smart watch zote zina uwezo wa kukusaidia wakati wa kufanya mazoezi
3. Zipo ambazo hazina sim card lakini zinakuwezesha kusoma sms, kupiga na kupokea simu
4. Zipo zenye uwezo wa kupokea memory card
5. Zipo zenye uwezo wa camera na ku record
6. Zipo zenye uwezo wa ku control music from your smart phone
7. Weather forecast
8...
9...
Unaniuliza maswali magumu sana...Nakupata ndugu yangu....sasa kwa uzoefu wako na kwafaida ya watu wengine wasiojua kama mimi ipi ni nzur? Maana umeniambia zipo zenye kupokea cm card . Zipo sijui zenye kupokea memory card nk...ipi nzur na iwe brand gan
Nilinunulia Dubai mwaka 2019 Kwa USD 100....kibongo bongo sijajua maana juzi nilienda pale city mall posta kucheki hiyo band 6 eti kima wa pale dukani ananiambia ni 300k nikaghairi kununua.Kibongobongo tunapigwa Sanaa.Inauzwa tsh ngapi?
Kwa Dubai nilichukua USD 100 mwaka 2019...kibongo bongo sina hakika Sana Sana itakiwa how much,maana tunapigwa Sana.hiyo bei gani
Ebu tudaidie na kujua bei za chimbo mzeeUnaniuliza maswali magumu sana...
Anyway, kwa nini unataka kununua smart watch!??
Mkuu... bado hujajibu swali langu... sifa gani imekuvutia kwenye smart watch!?Nimevutiwa na mm kuvaa saa ya smart ila iwe ya kijanja sababu dunia ndio imefikia hapo kwa sasa ivyo inatakiwa japo twendena wakati uliopo
Specification zake ndio zimenivutia...kwa mfano kupiga cm kupokea na kutuma sms, camera kama ulivyosema, memory card nk kwaiyo hata mtu ukivaa unaonekana ni mtu ambaye unaenda na wakatiMkuu... bado hujajibu swali langu... sifa gani imekuvutia kwenye smart watch!?
NA PIA ULIFAHAM HILI SMARTWATCH KALI NA ZINAZOKUPA KILA UKITAKACHO NILA LONGOLONGO HAKUNA YA CHINI YA LAKI 3 , HAIJALISH MCHINA AU NANI MFANO XIAOMI SMART WATCHES ( achana na mi band) ,ila siku ukishika hela nunua Samsung watches kama ile 3 jamaa yang anayo utakuja nishukuruSpecification zake ndio zimenivutia...kwa mfano kupiga cm kupokea na kutuma sms, camera kama ulivyosema, memory card nk kwaiyo hata mtu ukivaa unaonekana ni mtu ambaye unaenda na wakati
Pesa ya ivyo sina kiongoz...sijafikia level izo za kununua saa laki 3 si kwamba sipendi la hasha ila uko bado sijafikiaNA PIA ULIFAHAM HILI SMARTWATCH KALI NA ZINAZOKUPA KILA UKITAKACHO NILA LONGOLONGO HAKUNA YA CHINI YA LAKI 3 , HAIJALISH MCHINA AU NANI MFANO XIAOMI SMART WATCHES ( achana na mi band) ,ila siku ukishika hela nunua Samsung watches kama ile 3 jamaa yang anayo utakuja nishukuru
Kwa hio budget ongeza kidogo tafuta smart band, zina make sense zaidi kwa maisha ya kawaida na pia zinakaa na chaji sana, wiki 2 ama zaidi.Habar wakuu, bilashaka natumai mu wazima wa afya tele.....!
Bila kupoteza tym naomba niende moja kwa moja kwenye point yangu, nimekuwa nikitaman kwa muda kuvaa saa ya smart ila nashindwa kufanya ivyo kutokana na ushamba wangu wa kutofaham ni saa gan naweza kuvaa kwa bajet yangu ya 50 elf...
Sasa basi kwa faida na ya watu wengine ni saa gan smart naweza kupata kwa bajet ya 50 elf? Natumai nitapata majibu ya kutosha umu jukwaan kwan jamiiforum ndio mtandao pekee wanye masuluhisho ya changamoto zetu........!!
Aksanten nawasilisha
Sante kaka kwaiyo ninapoenda dukan niwaambie ninahitaji smart watch ya huawei au niwaelekezeje ili niweze kupata hitaji la moyo wangu?Kwa hio budget ongeza kidogo tafuta smart band, zina make sense zaidi kwa maisha ya kawaida na pia zinakaa na chaji sana, wiki 2 ama zaidi.
View attachment 1976824
Band nyingi ni around 50,000 mpaka 80,000 hivi, za Huawei Honor band overall ni nzuri zaidi.
Smartwatch nzuri ni 150,000 kupanda.
Go for haylou solar hutojutiaPesa ya ivyo sina kiongoz...sijafikia level izo za kununua saa laki 3 si kwamba sipendi la hasha ila uko bado sijafikia
Mkwawa akienda shop za bongo kuna watu wanauza mpka laki hizi smart band tena za kampuni zisizo reliable kabisaKwa hio budget ongeza kidogo tafuta smart band, zina make sense zaidi kwa maisha ya kawaida na pia zinakaa na chaji sana, wiki 2 ama zaidi.
View attachment 1976824
Band nyingi ni around 50,000 mpaka 80,000 hivi, za Huawei Honor band overall ni nzuri zaidi.
Smartwatch nzuri ni 150,000 kupanda.
Smartwatch nzur ambayo battery yake iko poa pia ina nguvu kwenye mtandao hata uende polini huko inashika bajeti yake inaanzia 100,000,hyo ya 50,000 niliwah kuwa nayo inafaa kwa mjini tu afu battery znakufa haraka
Hio ni bei ya online mkuu.Sante kaka kwaiyo ninapoenda dukan niwaambie ninahitaji smart watch ya huawei au niwaelekezeje ili niweze kupata hitaji la moyo wangu?