Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wazee,
Najua waandaaji wa mikutano au vikao vya kimataifa hualika viongozi wengi kutoka nchi mbalimbali duniani. Lakini najua vilevile kwamba siyo viongozi wote wanaoalikwa huhudhuria vikao hivyo na hata kutuma wawakilishi wao kwa sababu mbalimbali. Kwa mfano, nakumbuka nimewahi kusikia kwenye vyombo vya habari kuwa Bingu Mutharika wa Malawi amegoma mara kadhaa kuhudhuria mikutano mbalimbali ya kimataifa kwa maelezo kuwa ni gharama kubwa.
Sasa wazee ebu tumwage data hapa. Je, ni rais gani katika bara la Afrika mwenye rekodi nzuri ya kuhudhuria vikao vya kimataifa?
Najua waandaaji wa mikutano au vikao vya kimataifa hualika viongozi wengi kutoka nchi mbalimbali duniani. Lakini najua vilevile kwamba siyo viongozi wote wanaoalikwa huhudhuria vikao hivyo na hata kutuma wawakilishi wao kwa sababu mbalimbali. Kwa mfano, nakumbuka nimewahi kusikia kwenye vyombo vya habari kuwa Bingu Mutharika wa Malawi amegoma mara kadhaa kuhudhuria mikutano mbalimbali ya kimataifa kwa maelezo kuwa ni gharama kubwa.
Sasa wazee ebu tumwage data hapa. Je, ni rais gani katika bara la Afrika mwenye rekodi nzuri ya kuhudhuria vikao vya kimataifa?