Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

mnafeli wenyewe, mnaanza kusingizia jina la chuo. Huko ni kutapa tapa.

Nyie mnaosema sijui profs wa Udsm wanakaza, sio sababu, hizo mambo kila chuo zipo na watu wanatoboa.

Sema tu wanafunzi wengi hawachukulii chuo serious, wanapenda vya kuiga, wakisoma nusu saa wamechoka wakati advance walikuwa wanatoboa usiku, kwa staili hii first class GPA itabaki kuwa hadithi.
 
josee88, Ni kwamba UDOM wanakuja kwa kasi sana ndiyo maana hivi vyuo vya zamani vinakipiga sana vita. Na kwa sasa product zao zimeanza kuingia kwenye soko la ajira kwa kasi.

Nb: Ushabiki wa vyuo katika elimu hauna tija yeyote
 
Kitu ulichokifanya ndio Utanzania wenyewe sasa.maana umebisha kwenye bishano ili mradi ubishe.ingefaa utoe data kutoka hicho kitabu chako ambazo ni kinyume na za mtoa mada.sasa hapa na wewe umetoa porojo na ndio uhovyo wa elimu yetu ya Tanzania.
Mimi sijabisha bali nimetoa ushauri kuhusu nini kifanyike endapo mtoa mada ameleta hoja dhaifu isiyo na vielelezo vya kushibisha HOJA yake, pengine lengo langu ni kuwa Watanzania tujaribu kusumbua akili zetu kidogo ili hoja ikiletwa basi iambatane na vielelezo vyenye kuhuisha ukweli wa hoja husika. Msomi anatakiwa kuja na HOJA yenye uthibitisho ndivyo tulivyofundishwa huko VYUONI, ndo maana tunapojibu maswali tunaweka CITATION pengine hiyo citation ni lazima iambatane na REFERENCE pia muda mwingine tunashauriwa kuweka QUATATION ', mimi pengine nilitarajia msomi uje na HOJA kwa kufuata hivyo vitu vitatu bila hivyo utakuwa msomi mwenye sifa ya UKASUKU. Wasomi leteni HOJA sio VIHOJA vya kudakia kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Udom college of Earth sciences na Cive ukipata first class we n mbabe sana sana,hio Udom mnayoiongelea nadhani n tofauti na nnayoijua mimi...
 
JamiiForums raha sana

Mtu analima miwa Kagera na elimu yake ya la saba, muda huo anakwambia anasoma UDSM tena anakazia "hiiiii udsm kuna msuli aisee tumeteseka sana kupata degree pale " na wasomi wanatoa povu

Mwingine anachunga ng'ombe Mara alafu anakwambia anafanya kazi taasisi za kimataifa. Hii ndio Tanzania, naipenda nchi yangu Tanzania
 
Udsm hata ka uko vzuri wanakufelisha kusudi mkuu. Wanaamini kufelisha ndo ubora wa chuo
Leo nilikuwa anazungumza Na wanafunzi kutoka UDMs, Na swali langu ilikuwa mwaka huu ni wangapi wamedisco ? Nikaambiwa 300 Kwa main campus mpaka branch zao lkn udsm ina wanafunzi karibu 16000, GPA ya mwisho ni 1.8.!!!! Lakin NIT mwaka wa masomo 2017/18 wamedisco 800 Na chuo kina wanafunzi karibu 8000 Na GPA ya chin 2.0,,,,Je point yako ya kusema udsm wakiamua kkukufelisha wanakufelisha inapata wapi nguv? Kwa huo uchambuzi udsm ni Bora?
 
MIMI nimesoma elimu pale UDOM MZIKI WAKE SI WAKITOTO MNAOBEZA ELEKEZENI NDUGU ZENU WAKASOME PALE MUONE WATATOKA NA NINI

Kwa kweli watutake radhi, watu tumepiga kitabu tumekondeana, mtaani tukanawiri japo maisha magumu ila ugumu wake haufanani na ule wa kitabu.

Mi binafsi mtu akianza na ohh chuo cha kata, ohh mitihani yao rahisi huwa namuangalia mara mbili mbili na huwa naogopa kuargue nae kwasababu anaweza asiwe na standing point zaidi ya "chuo cha kata" ambapo kauli hii sijui chanzo chake ni kipi. Je wanafahamu kuwa walimu wa udom ni ex wanafunzi wa UD? Kwa maana hiyo UD imetoa waalimu vilaza ambao wamekuja udom kuzalisha GPA za hovyo? Je wanajua kabla mitihani hukaguliwa na External examiners ambao yaweza kuwa hao hukagua mitihani ya vyuo vingine ikiwemo UD? Vipi ukaguzi wa matokeo kwa wale A lists na wale waliofeli sana hufanywa na nani ili kuapprove usahihi wa matokeo?

Mambo mengine ni obvious UD ni chuo kikongwe hivyo mambo ya kitaasisi lazima yawe yana mizizi kuliko UDOM, na hii competition kati ya UD na UDOM ni unfair unawezaje kulinganisha taasisi ya toka kipindi cha nyerere na hii ya majuzi tu? Hopefully UDOM wanajipanga na with time watakuwa Bora zaidi ya sasa, ubora huo sio katika material ya kielimu yatolewayo maana zote ziko under TCU. Bottom line, Elimu ya kiAfrika bado ni tatizo kwa kuwa Afrika yenyewe ni tatizo.
 
Nathan Jr,
Asilimia kubwa ya walimu wa UDOM wametoka UDSM,kwaiyo hakuna tofauti ya elimu kati ya vyuo hivi viwili.
Pia GPA kubwa ambazo zimevunja record zimetoka UDSM na sio chuo kingine je na hao walipewa au la.
Mada uliyoanzisha haina mashiko mfano mtu aje humu Jf aseme Tabora boys inatoa division one nyingi kuliko Tambaza kwaiyo Tambaza kuna elimu ngumu.

Mkuu chuo hakipimwi kwa idadi ya GPA ila kinapimwa kwa kuangalia kipo nafasi ya ngapi kwenye rank za kidunia.
Swali la kujiuliza je UDOM ndio chuo cha mwisho kabisa Tz ? Kama jibu ni hapana jiulize tena kwanini kinaongelewa vibaya tofauti na vyuo vingine ? Ukikosa jibu kumbuka methali isemayo "mti wenye matunda ndio upigwao mawe "
Mashindano ya chuo gani bora ni mawazo tu ambayo baadhi ya watu wanakuwa nayo wakiwa chuoni ila ungejua mtaani watu wengi wanalia kilio kimoja cha ajira bila kujali chuo.

Ulivyoandika elimu yako kwa ufupi nikagundua kuwa una akili za kitoto mana hakuna aliyehitaji kujua ulisoma wapi ila tunahitaji kujua ukweli wa hoja zako.

Nihitimishe kwa kusema hakuna utofauti kati ya vyuo vya Tanzania mana nilimaliza UDOM nikajaribu kuomba UDSM ili nijiendeleze ila watu wenye akili kama zako walinitishia sitochaguliwa kwa kuwa nimesoma UDOM, ila nilichaguliwa na nipo naendelea na masomo lakini mpaka sasa sijaona tofauti ya nilipo na nilipotoka.

Nawasilisha.
 
Kwa ushahidi zaidi nenda ofisi za ukaguzi Kanda ya nyanda za juu kusini wakati wamekuja kukagua ufundishaji mashuleni walichokigundua ni kwamba wanafunzi waliosoma UDOM ni kwamba uandishi wa SCHEME OF WORK na LESSON PLAN wa Graduate wa UDOM ndo unaofaa na kushauri walimu wengine waige uandishi huo. Kwa ushahidi zaidi nenda ofisi za ukaguzi IRINGA kawaulize hili ninalolisema hapa
 
Wajomba wa pale hawanaga time na mtu, nyie mfeli hata darasa zima wao wanasonga tu. Hakuna cha kuuliza imekuwaje wala nini. Prof Mjema kama bado upo IFM, heshima kwako
Mjema amenifundisha kozi moja pale CoET ni mtata hatari. Hivi huyu mzee yupo CBE kama principal au yupo IFM?
 
dong yi,
Nilisikia alihamishiwa CBE, sasa hivi pale wanaisoma namba. Nasikia hakuna dezo zilizokuwepo zamani
 
Wakati udom inaanzishwa mwaka 2007, walichukuliwa maprofesa na madokta kadhaa kutoka UD,SUA, Mzumbe nk, kama UDOM ni mbovu ni matokeo ya ubovu wa kurithi kutoka vyuo tajwa. Pili, kama elimu ya Udom ni mbovu kwann graduates wake wanashinda interview na kupata kazi. Tatu, ubora wa chuo unapimwa kwa kutumia vigezo vipi?
 
UDOM mnayo zungumzia Siyo The University of Dodoma maana Chuo kile ukitaka kukifahamu vizuri mpeleke Mdogo wako atakurudishia majibu mazuri Muache Siasa zisizo kuwa na Rejea enyi wasomi wa Tanzania huru.
 
Mimi sijabisha bali nimetoa ushauri kuhusu nini kifanyike endapo mtoa mada ameleta hoja dhaifu isiyo na vielelezo vya kushibisha HOJA yake, pengine lengo langu ni kuwa Watanzania tujaribu kusumbua akili zetu kidogo ili hoja ikiletwa basi iambatane na vielelezo vyenye kuhuisha ukweli wa hoja husika. Msomi anatakiwa kuja na HOJA yenye uthibitisho ndivyo tulivyofundishwa huko VYUONI, ndo maana tunapojibu maswali tunaweka CITATION pengine hiyo citation ni lazima iambatane na REFERENCE pia muda mwingine tunashauriwa kuweka QUATATION ', mimi pengine nilitarajia msomi uje na HOJA kwa kufuata hivyo vitu vitatu bila hivyo utakuwa msomi mwenye sifa ya UKASUKU. Wasomi leteni HOJA sio VIHOJA vya kudakia kwenye vijiwe vya kahawa.
Hoja hujibiwa kwa hoja. Takwimu kwa takwimu. Tafiti kwa tafiti. Kama mtoa hoja hana data kuna haja gani ya kumjibu kwa data
 
Write your reply...ukitaka kujua ubora wa chuo nenda kafanye utafiti katika chuo husika acha hizi political of blabla hapa bila kuja na mambo sahihi na hakika vyuo vyote vipo tanzania nenda kajifunze
 
Ujue naona bado hujafanyia tafiti hicho kitu unachosema, maybe its true kwamba UDOM ipo hivyo lakini compare kozi ambazo wanazotoa UDOM na vyuo vengine then ukiongelea UDOM unaongea 8 colleges so i dont get you which collage you mean, mfano COeD as you know kozi ya ualimu ni kozi ambayo ni simple sana kwa Tanzania so may be unahudhuria sana koleji hiyo lakini pia hata koleji ya humanity and social science kuna walimu na kozi simple so usitegemee kuwa wanafunzi wote ni vilaza kama wengine hivyo wanafanya jitihada sana.

UDOM kuna koleji kama CBSL wanafunzi wanaograduate kwa upper class ni wachache sana lakini hata humanity kuna kozi inaitwa PSPA hiyo upper GPA utaisikia kwa majirani zako tu.

So nakushauri fanya reseach as you know Watanzania wengi wagumu kufanya hivyo na mara nyingi tunaoingea ili kujibizana.
 
Mi naona udom wanafundisha Sana na ndo maana wanapata firsity class wengi kwani siku zote anayefaulisha Sana ndo anafundisha pia na anaefelisha hafundishi inavyotakiwa
 
Back
Top Bottom