Watanzania ni wamoja lakini ni rahisi kumgundua kila mtu na kabila lake kwa kuzingatia lafudhi na matamshi ktk lugha yetu ya kiswahili:
Wahaya-mara nyingi utasikia wakichanganya kiswahili na ki-ingilish bila kusahau neno 'of couz', 'kwa kweeri mama koku', n.k
Wachaga-ni wazito kuongea, mara nyingi alfabeti "v" huchanganywa na "f" mfano "fiatu fyako" badala ya "viatu vyako", 's' na 'z' mfano maandasi badala ya maandazi.
Wasukuma- Wanatumia nguvu sana kuongea (wakandamizaji), mara nyingi kila neno wanaloongea wanamalizia na "ga" mwishoni mfano, naendaga badala ya 'naenda'
Endelea...
Wahaya-mara nyingi utasikia wakichanganya kiswahili na ki-ingilish bila kusahau neno 'of couz', 'kwa kweeri mama koku', n.k
Wachaga-ni wazito kuongea, mara nyingi alfabeti "v" huchanganywa na "f" mfano "fiatu fyako" badala ya "viatu vyako", 's' na 'z' mfano maandasi badala ya maandazi.
Wasukuma- Wanatumia nguvu sana kuongea (wakandamizaji), mara nyingi kila neno wanaloongea wanamalizia na "ga" mwishoni mfano, naendaga badala ya 'naenda'
Endelea...