Ni raha sana wajamen

Ni raha sana wajamen

Fundi mahiri wa Ujenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
4,705
Reaction score
3,628
Hello

Ni raha iliyoje kuwa na mtoto!
Unajiona kama Mungu mtu vile,
When you look at him/her lazima utabasamu,
holding your child is sooooo sweeter kuliko kitu chochote kile hapa duniani
I am sooooo proud being a father,
Kwa wale ambao hamjabahatika kupata mtoto hamwezi elewa ninachokiongea

Je kwa wote wenye watoto mnafeel this way! ama ni ulimbukeni wangu wa kupata mtoto wa kwanza?
 
yeah ni raha sana, ukipata wajukuu raha inadouble.
 
Hello

Ni raha iliyoje kuwa na mtoto!
Unajiona kama Mungu mtu vile,
When you look at him/her lazima utabasamu,
holding your child is sooooo sweeter kuliko kitu chochote kile hapa duniani
I am sooooo proud being a father,
Kwa wale ambao hamjabahatika kupata mtoto hamwezi elewa ninachokiongea

Je kwa wote wenye watoto mnafeel this way! ama ni ulimbukeni wangu wa kupata mtoto wa kwanza?

yah..ni raha mnoooooo. Hongera mkuu
 
Hello

Ni raha iliyoje kuwa na mtoto!
Unajiona kama Mungu mtu vile,
When you look at him/her lazima utabasamu,
holding your child is sooooo sweeter kuliko kitu chochote kile hapa duniani
I am sooooo proud being a father,
Kwa wale ambao hamjabahatika kupata mtoto hamwezi elewa ninachokiongea

Je kwa wote wenye watoto mnafeel this way! ama ni ulimbukeni wangu wa kupata mtoto wa kwanza?

Hongera mnooo kwa kupata mtotroo, but yafaaa kumsifu na kumshukuru mungu,,,na kumuomba amlinde!
Kwasababu hukumpata kwa uweza wako,,,,
 
Raha ukiwa umejipanga; bila mipango unaishia kutoa mimacho na kukataa mtoto!. hongera pmoses95 a.k a. Baba Mpya
 
Last edited by a moderator:
Hello

Ni raha iliyoje kuwa na mtoto!
Unajiona kama Mungu mtu vile,
When you look at him/her lazima utabasamu,
holding your child is sooooo sweeter kuliko kitu chochote kile hapa duniani
I am sooooo proud being a father,
Kwa wale ambao hamjabahatika kupata mtoto hamwezi elewa ninachokiongea

Je kwa wote wenye watoto mnafeel this way! ama ni ulimbukeni wangu wa kupata mtoto wa kwanza?
mweeeeee my lovely twin hongera zako kwa kweli pmoses95 hongera sana tutajipaga na Fixed Point tuje tumsabahi baibe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom