ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,754
Hongera sana mkuu "......utabarikiwa uzao wa tumbo lako"
unauhakika ni mtoto wako.
huu ni uchokozi mtani....Hivi mkuu mbona kama ni juzi juzi tu ulifunga ndoa...
Kweli muda unakimbia...hongera sana
Umepima DNA?Nenda alaf ndo ulete hi mada unaweza kuta sio mtoto wako,mtazamo tu usinichukie!Hello
Ni raha iliyoje kuwa na mtoto!
Unajiona kama Mungu mtu vile,
When you look at him/her lazima utabasamu,
holding your child is sooooo sweeter kuliko kitu chochote kile hapa duniani
I am sooooo proud being a father,
Kwa wale ambao hamjabahatika kupata mtoto hamwezi elewa ninachokiongea
Je kwa wote wenye watoto mnafeel this way! ama ni ulimbukeni wangu wa kupata mtoto wa kwanza?
Huko uendako siko kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ha haaaa, siyo siku zote nakuwaga kilaza ujue mtani, siku nyingine zinachaji. lol!Hahaha mtani sikutaka watu wengine muelewe lol...umezidi kuwa jiniaz mtani wangu
Hongera sana mkuu "......utabarikiwa uzao wa tumbo lako"
Hahaha mtani sikutaka watu wengine muelewe lol...umezidi kuwa jiniaz mtani wangu
wapi huko?! ............. kapime DNA kwanza ndio ulete furaha zako hapa.
hii mada napigwa 3 bila yaani lugha mnayoongea ni kichina,mimi mwenzenu sina hata wakusingiziwa,lol.. Natamani lakini
ISent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tehetehetehetehetehetehe