Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
philosophize !!!Matusi yako wapi hapo?
philosophize !!!Matusi yako wapi hapo?
HUONI MUSIBA ALIVYOKUWA ANAMSHAMBULIA MTU AMBAYE HAONGEI WALA HAJAWAHI ITISHA PRESS CONFERENCE NA WAANDISHI!!Duu !! Kumbe Mh. Membe kawa tishio kwenye chama chetu kiasi kwamba yatulazimu tutumie nguvu kubwa kwa namna hii.
Duu !! Kumbe Mh. Membe kawa tishio kwenye chama chetu kiasi kwamba yatulazimu tutumie nguvu kubwa kwa namna hii.
Siasa na matajiri ni mapacha, ukijifanya unapenda sana wanyonge kuliko ma don lazima uangukie pua. muda wa kina Bashite umekwisha ni muda wa watu wazito wenye akili zao.Team Membe Plus network ya JK na wanaoendelea kuumizwa na mfumo wa sasa hata kama hawakuwa Team Membe......
Wote wako tayari kukusanya nguvu kuwa against JPM.....
Sasa hapo ni pazito, ikabidi tu JPM aanze kujifunza siasa hata kama azitaki.....
Unapinga ufisadi...Then unawapa nguvu tena akina Rostam wakati walikuwa blacklisted tayari....
Hiyo ndiyoo siasa ya bongo....
Siasa na matajiri ni mapacha, ukijifanya unapenda sana wanyonge kuliko ma don lazima uangukie pua. muda wa kina Bashite umekwisha ni muda wa watu wazito wenye akili zao.
Uzi wa moto huu.Ok, Sawasawa ndo maana yule alieko Brussels alionekana yupo serious sana wakati watu wanacheza mchezo wao.
Kwahio akatulizwa!
pumbavu we ndo unapiga wtau bitKwani hujui kwamba Mwangonda alikuwa upande wa Lowassa?
Kinana Lowassa na Kikwete walikuwa na Apson Mwangonda
Kabisaaenzi za zamani tulikuwa hatuhitaji PHD ya Nahau kusoma nyuzi za siasa.
Enzi hizi hadi uwe na Kisimbuzi kichwani ndio utaelewa tetesi hatarishi.
Mbaya zaid walimrekodiNi vigumu kwa nchi za Africa kumuondoa aliyeko madarakani....mpak aamue mwenyewe...yanayotokea yanaonesha kuwa yye ndo mkuu wa nchi ana nguvu ya kumuita yyte n kumwamuru atekeleze anayotaka
Huo ni mtazamo wako.Acha uchonganishi Na kuchochea Fitna Na Mtafaruku Kwenye Jamii
Akifanikiwa Rais imefanikiwa Nchi Na akishindwa Rais imeshindwa Nchi
majasusi
Mkuu Membe ndo alikuwa anawategemea sana watu hawa hasa Mwangonda lakin haikufanikiwa Maana Kikwete alikuwa imara sana kawasoma
Dr Azaveli Lwaitama ameishawaonya, anasubiri kutekwa tu.Zamani kipindi tukiimba "Zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM", sikuelewa kwa usahihi kwa Nini viongozi wengi wa kiafrika na Amerika ya Kusini waliondolewa madarakani kwa mapinduzi ya majeshi. Tuliambiwa na tukaamini hivyo kuwa Ni kwa sababu Mabeberu walituonea wivu kwa ajili ya rasilimali za nchi zetu. Ambacho hatukufahamu Ni juu ya ukatili wa kutisha uliokuwa ukifanywa na watawala hawa dhidi ya wananchi wa nchi zao. Mauaji holela, hila dhidi ya wapinzani, hiana dhidi ya matajiri, kuminya Uhuru wa watu, ulevi wa madaraka vikichagizwa na umaskini uliokithiri miongoni mwa raia,vilikuwa mbolea iliyostawisha mapinduzi na mauaji ya viongozi hasa Africa.
Nilifikiri kuwa Maprofesa wabobezi wa historia na Sheria Kama akina Kabudi na Mwakyembe wangeyafahamu haya na kutoa ushauri nasaha, kumbe nao ni wachumia tumbo tu!!!
Pale ndo Lowassa alipofeli.Ilibidi wapambe wake wampigie kura za kutosha yule Mama wa Zanzibar then ye aende upinzani natumaini kazi isingekuwa ngumu kwa Lowassa.Kumbuka Magu alikuwa anaaminika mno na wananchi 2015 kurudi nyumaWaliomweka magogoni ni kambi ya lowasa...walimpigia kura pale dodoma
HeeeNi vigumu kwa nchi za Africa kumuondoa aliyeko madarakani....mpak aamue mwenyewe...yanayotokea yanaonesha kuwa yye ndo mkuu wa nchi ana nguvu ya kumuita yyte n kumwamuru atekeleze anayotaka