Walevi wooote huwa wanaombaga ushauri wa kuacha pombe ila hakuna aliepatiwaga ushauri akaufatilia...Grants, naipenda sanaaaa pole mkuuu, unataka uache pombe ufanye nini sasa?? Acha ujinga mzee kiddingGrants na Valuer...hivi vinywaji vilitaka kunitoa roho...Lakini walevi huwa hatukomi!!...Naombeni ushauri wa kuacha pombe i see
Walevi wooote huwa wanaombaga ushauri wa kuacha pombe ila hakuna aliepatiwaga ushauri akaufatilia...Grants, naipenda sanaaaa pole mkuuu, unataka uache pombe ufanye nini sasa?? Acha ujinga mzee kidding
Magaritha, pombe hii inaseviwa ikiwa na barafu, (ice), kwenye glasi iliyopakwa chumvi pembeni na kipande ChA limao. Hivyo unakunywa huku unaramba chumvi na limao. Glasi ya kwanza niliifurahia, yapili nikamwambia asiwe mabarabu maana yanapunguza Wingi WA kinywaji kwenye GLASI LAKINI MHUDUMU ALINISHANGAA lakini alitii maagizo yangu akanipa bila barafu ndani. Kwakweli sikujuwa kuwa kumbe Ile pombe ni kali SanA ikaniunguza mdomo na koo lote Hali yangu ilikuwa tete kidogo niondoke,Elezea kisa kilichokukuta mpaka ukasema hutakuja kuigusa pombe ya aina fulani
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
mimi siitaki asaivi hata kuisogeleadesperados inanipenda na mi naipenda balaa i can drink it mpk nichoke kitu kimenishinda ni (cognac) km hennessy
Unatumia nini saivi?mimi siitaki asaivi hata kuisogelea
uache pombe then ukafanye nini😅😅Grants na Valuer...hivi vinywaji vilitaka kunitoa roho...Lakini walevi huwa hatukomi!!...Naombeni ushauri wa kuacha pombe i see
sweet white wineUnatumia nini saivi?
Sawa ntakuletea ukihitajisweet white wine
na savanna
Kabisa brohJumamosi leo, jumatatu natumai kutakuwa na visa vya kutosha.
Hahaaa karibuSawa ntakuletea ukihitaji
uache pombe then ukafanye nini
Hakuna utopolo sijanywa si Bia, Brandy, Spirit, Whiskey, Vodka....nataka kustahafuWalevi wooote huwa wanaombaga ushauri wa kuacha pombe ila hakuna aliepatiwaga ushauri akaufatilia...Grants, naipenda sanaaaa pole mkuuu, unataka uache pombe ufanye nini sasa?? Acha ujinga mzee kidding
katishaKuna siku nilienda kumtembelea jamaa yangu gheto kwake. Mida ya jioni akanitoa out mimi na washkaji wengine.
Binafsi sinywi pombe, nilipiga grand malt zangu nila wenge. Around saa mbili au tatu kasoro tukarudi gheto. Alipopanga, nyumba ina fensi.
Sasa tushaingia ndani, jamaa akafunga na geti kabisa. Dakika chache mbele kuna mtu akawa anagonga geti huku akiita na kuomba afunguliwe. Jamaa yangu akaanza kuwaka, yule ni nani anasumbua watu mida ile wakati yeye (jamaa yangu) alishaweka sheria, akiingia ndani, ambao mko nje mtafute pa kulala (hapo kumbuka nyumba sio yake, amepanga).
Kumbe bhana anabishana na mwenye nyumba . Yule faza house baada ya kuona maneno ya shombo yamezidi, akaamua kuondoka (alikuwa mfupi tena kibonge, asingeweza ruka ukuta).
Hiyo ndio ilikuwa mara ya mwisho jamaa yangu kuishi pale, japo kodi ilikuwa bado sana kuisha.
Huu uzi sikuuona jmn mi Smirnoff iliibua maralia staki kusikiaAise sitamsasahau Smirnoff black ice alichonifanya japo ni tamu kama sprite hadi ilifika kipindi nikiiona mwili unasisimka, japo viroba vya Zed viliwahi nilaza bafuni siku moja kabla ya kuingia pepa ya la saba.
Pole sana mkuu umenikumbusha habari ya valeurKuna siku nilikuwa na hamu ya kuzimua kidogo, nikaingia baa...nikaagiza castle lite na nyagi ndogo ( kasichana) nikapiga, bia ikaisha nikaongeza bia mbili Tena ili kuimalizia konyagi.
Ilipoisha nikaanza kupiga lite za kutosha! Sijakaa sawa akaja rafiki yangu dokta akasema tuchukue mzinga mkubwa wa Valeur.
Tukauchukua, tukaanza kuupiga mpaka ukaisha, ebwana eeee.....!!! Nikaanza kutoka baani kwenda home saa nane usiku kwa mguu, kumbe geji inapanda**.
Nilipofika home badala ya kuingia ndani nilipitiliza kwenye fensi yenye miiba...nikawa nafosi kupita pale...yaani nilichomwa miiba balaa!
Nilichafuka huku naangukia miba..baadae sijui ikawaje nikaingia chumbani nikalala...
Kuamka asubuhi kila sehemu nimekwaruzwa Kama viwembe hivi..njaaa....halafu macho yanatoa machozi fulani hivi yanaumaa!
Nikapigia boda akaleta nyama nusu, maji makubwa ya baridiii, na Pepsi baridiii.
Nikaandaa supu..nikainywa mdogo mdogo.
Nilishinda nimo ndani tu, kumbe Kuna dada mmoja aliniona ile night navyofakamia ile fensi Kama mbogo.
Baada ya siku mbili baadae akaniuliza kumbe kaka unakunywa? Niliona aibu maana sikuwahi kuonekana nimekunywa!
Huo usiku nilkuwa full yaani yeyote akikaa mbele nilijiapiza anachezea mkono, sijui hayo mawazo yalitoka wapi. Nilipita sehemu walipo vibaka nawatafuta kwa kuwaita kabisa nikielekea home.
Sikujua nikuwa nalazimisha nivuke fensi niende wapi!
#Valeur haifai#