Ni nyumba za kulala wageni au ni nyumba tengefu kwa ajili ya uzinzi na uasherati?

Kwani shida nini? Watu maskini hufatilia vitu vidogo kama ngono, uzinzi, sasa watu wanajifanyia uzinzi, wanatumia miili Yao, we kinakuuma nini? Tufike sehemu kila mtu ajihusishe na maisha yake,
There is no need to poke ur nose into someone shit
 
ni nyuma za kujisitiri na faragha,

na humo ndani tukikutana korido tusisalimiane wala kutizamana sura kilia moja afate lwake tafadhali
Niliwahi kutana na mke wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa guest. Alikuwa na dereva wa bodaboda. Guest yenyewe ilikuwa ni mbali mno na eneo tunaloishi.

Mbaya zaidi walikuwa ndio wanaingia chumbani mimi nikiwa natoka. Hatukusalimiana, kila mtu aliuchuna kama hajamuona mwenzie.

Toka siku hiyo nikiwa na shida yeyote na mwenyekiti huwa naenda nyumbani kwake na huwa inatatuliwa kwa haraka sana hasa nikimkuta mkewe.

Mwenyekiti alishawahi kuniambia kuwa mkewe amemwambia katika wakazi wa eneo lake mimi ni mmoja ya wastaarabu mno.
 
Kwani shida nini? Watu maskini hufatilia vitu vidogo kama ngono, uzinzi, sasa watu wanajifanyia uzinzi, wanatumia miili Yao, we kinakuuma nini? Tufike sehemu kila mtu ajihusishe na maisha yake,
There is no need to poke ur nose into someone shit
Huna hela ww mzee baba.
Elewa swali...
 
Nyumba ya wageni (guest house) ni jengo penye nafasi za kukodi kwa kulala wageni.



Hata nyumbani kwako , watoto wako wanapopumzikia, Wewe kama mzazi ukiamua umnyandue mkeo week nzima unaweza fanya hivo, hata watoto wako wakike wakiamua walete mabwana zao wananyanduka hapo hapo, awali ya yote bado inaitwa nyumba ya familia.

Turudi kwenye swali, Zile ni nyumba za wageni, hamna anayeenda pale ni kwake wote ni wageni mnakua hosted pale. Ndio maana ya kauli nyumba ya wageni. Hata uende kila siku wewe ni mgeni pale si mwenyeji.

La mwisho. Sehemu ya lodge, hotel, motel au nyumba yyte ya wageni. Haijatengwa , ili unyanduliwe wewe mtoa mada, au ukasome au ukapumzike, ni maamuzi yako. Hata ukitaka uingie ukojoe uondoke.
Pale ni mahususi kukupoke na kukupa hifadhi. Hata ukiwa na unga unaweza ingia ukapack ukatokq yaani ni mgeni wewe.
 
Niliwahi kutana na mke wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa guest. Alikuwa na dereva wa bodaboda. Guest yenyewe ilikuwa ni mbali mno na eneo tunaloishi.

Mbaya zaidi walikuwa ndio wanaingia chumbani mimi nikiwa natoka. Hatukusalimiana, kila mtu aliuchuna kama hajamuona mwenzie.

Toka siku hiyo nikiwa na shida yeyote na mwenyekiti huwa naenda nyumbani kwake na huwa inatatuliwa kwa haraka sana hasa nikimkuta mkewe.

Mwenyekiti alishawahi kuniambia kuwa mkewe amemwambia katika wakazi wa eneo lake mimi ni mmoja ya wastaarabu mno.
kusalimiana ni kosa kubwa sana, na wewe ulifanya jambo la maana sana kupita kimyakimya 😂

ungesalimia tu,
ungewekwa kwenye kundu la watu wakorofi na hatari sana wa mtaa huo, na hata kama uhalifu ungefanyika huko mbali,
basi wew ndie ungekua mtuhumiwa no1😂

kutokusalimia kumekusaidia sana na umekua mstaarabu wa mtaa 😂
 
Kwani shida nini? Watu maskini hufatilia vitu vidogo kama ngono, uzinzi, sasa watu wanajifanyia uzinzi, wanatumia miili Yao, we kinakuuma nini? Tufike sehemu kila mtu ajihusishe na maisha yake,
There is no need to poke ur nose into someone shit
Mbona mashoga wakifirana mnapayuka mpaka mnabasti kwa mapovu!
 
Niliwahi kulala nyumba moja huko temeke jina na lihifadhi ile nyumba inaonekana kabisa siyo ya wageni kama ilivyo ainishwa bali ni chaka la maangamizi ya mademu ,

Kuna jamaa alikua na demu wake ndani na demu alikua akipiga makelele haswa kaa anaomba msaada hivi wa jamaa kuchomoa kitu alichokua kamsokomezea japo sijui alikua anamfanyaje naanafanyia upande upi .

Illa nilisikia akimwambia kwa ukali na ubabe sana demu wake sikukatazi kuchepuka ila sitaki mwanaume mwingine akukojolee ndani. Chepuka ila watumie kinga kama hawataki wakojoe nje na hakuna kunyonya pipi.

Mwanamke aliendelea kupiga kelele sana za maomivu makali mno na wakati mwingine za utamu ila baada ya muda kidogo nilisikia akitapika sana sasa sijui alikua anamfanyaje

Japo asubuhi yake niliona wakitoka huku wanaongozana pamoja kwa furaha na jamaa limembebea demu pochi
 
Back
Top Bottom