Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye uhalisia wa Mada kuna kosa kubwa nimelifanya ukweni nalo ni kuzungumza uongo ambao umepelekea Baba mkwe kunikasirikia sana.
Uongo wenyewe ni kwamba niliahidi kutoa mahari kiasi nilichopangiwa lakini finally nilishidwa kutimiza baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa kuliko walivyotarajia hali iliompelekea ukweni kuniona mimi ni muongo, msanii na muhuni hali iliyompelekea binti kusimangwa Sana familia yao.
Lakini pia mbali na yote kuna taarifa nimepewa nahitajika ukweni familia kwa sasa ninawaza nifanyaje na njia ipi sahihi naweza itumia kuomba msamaha.
Uongo wenyewe ni kwamba niliahidi kutoa mahari kiasi nilichopangiwa lakini finally nilishidwa kutimiza baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa kuliko walivyotarajia hali iliompelekea ukweni kuniona mimi ni muongo, msanii na muhuni hali iliyompelekea binti kusimangwa Sana familia yao.
Lakini pia mbali na yote kuna taarifa nimepewa nahitajika ukweni familia kwa sasa ninawaza nifanyaje na njia ipi sahihi naweza itumia kuomba msamaha.