✓Mauzo...namna ya kuinua na kuifanya biashara changa iweze kustawi vizur na kwa kasi!
Asante Sana mkuu, napoamkia mishemishe kesho lipo kwenye utekelezwaj!Ukitaka biashara yako ikue kwa HARAKA zaidi,
Ukishatoa matumizi yote,
Kwa sikU Hutakiwi kutumia zaidi ya 10% ya faida yote uloingiza kwa sikU
Inamaana,
Kama umeingiza faida ya 10,000 kwa sikU,
Hupaswi kutumia zaidi ya 1,000 kwa iyo sikU husika.
Mkuu haya madini nmeyameza Kama yalivyo, ntafanya hivyo hivyo mkuu!2. Ukitaka biashara yako ikue kwa HARAKA
Hakikisha malipo ya mishahara ya wafanyakazi wako kwa mwezi. Yawe yanaweza kulipwa na 10% ya faida yako ya sikU ndani ya robo ya kwanza ya mwezi (yaani sikU 8)....
Mkuu nashukur kwa ushaur wako mzuri!Weka bidhaa zenye quality nzuri + reasonable price. Kwa kuanza usitake faida kuubwa
Jali wateja wako na uwahudumie vizuri ili kesho warudi tena....
Inategemea aina ya service zako na wateja husika.Mkuu nashukur kwa ushaur wako mzuri!
Ila Ni tips zipi ambazo zitaniongoza kufanya marketing ya service ninayoitoa?
Mkuu, haya madini si mchezo yaani umepita mule mule kwny uti wa mgongo wa biashara yoyote ile!Kwenye biashara,
Ukifeli Kwenye kubalansi mapato yako na matumizi yako.
Basi Kwenye game tunakusahau HARAKA Sana.
Utajiona unauza sana,
unazungusha Sana ila hukui na Ela huioni.
Nidhamu ya pesa ndio msingi wa mafanikio.
Kamwe,
Usihofu Wala USIOGOPE KUITWA BAHILI,
maana Siri ya mafanikio iko humo humo Kwenye ubahili.
JujuWakuu natumai hamjambo!
Naomba mwenye skills na experience katika biashara anisaidie mawazo, namna ya kuinua na kuifanya biashara changa iweze kustawi vizur na kwa kasi!
Tuweke utani pembeni, naomba michango yenu ya kimawazo.
Natanguliza shukran!
Mkuu huko sahihi kabisa ubahili na savings ndo mafanikii ya kukuza kipato. Nilishaletaga uzi humu jinsi navyobeba boksi masaa hadi zaidi ya 16. Na nilikuwa nimepanga kwenye shared apartments. Kuna wakati nilikuwa naingiza kama 3000 euros au dollars kwa wiki mbili. Nilikuwa naendaga kuchukua chakula wanapotoa bure. Getto langu ni kitanda tu na meza na kiti. Toka 2012 hadi 2020 April hela niliyosave siyo mchezo. Kitu kinachonimalizia hela ni sigara na mmea. Nikijitahidi kupungu nitasave zaidi lazima nitumie kama laki 6 ya bongo kwenye haya makitu. Denmark ndo nchi inalipa high wages kwa wabeba boksi skendinevia ikifuatiwa na norwayKwenye biashara,
Ukifeli Kwenye kubalansi mapato yako na matumizi yako.
Basi Kwenye game tunakusahau HARAKA Sana.
Utajiona unauza sana,
unazungusha Sana ila hukui na Ela huioni.
Nidhamu ya pesa ndio msingi wa mafanikio.
Kamwe,
Usihofu Wala USIOGOPE KUITWA BAHILI,
maana Siri ya mafanikio iko humo humo Kwenye ubahili.