Field Marshall ES
R I P
- Apr 27, 2006
- 12,621
- 1,241
Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania, Kwa Ari mpya, Nguvu Mpya NA Kasi Mpya,
Tanzania yenye neema tele inawezekana,
UTANGULIZI: 1
(8). Jukumu la kwanza ni kuitoa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la uchumi ulio nyuma na tegemezi na kuiingiza katika mkondo wa uchumi wa kisasa wa taifa linalojitegemea.
: Jukumu hilo ni letu Watanzania, wahisani wanatuunga mkono tu!
Jukumu la pili ni kuwashirikisha wananchi wote kwa njia ya uwezeshaji katika ujenzi wa uchumi na kutokomeza umasikini!
(9). Ilani hii ni kielelezo cha dhamira ya CCM ya kuiendeleza kazi nzuri iliyokwisha kufanywa na serikali ya awamu ya tatu ya rais Mkapa. Ikichaguliwa tena, CCM itahakikisha kwamba serikali ya awamu ya nne inaendeleza kazi ya kukuza uchumi na kupambana na umasikini wa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Wananchi Mnasemaje, hebu tuichambue kwa kina hii Mazingaombwe!
Tanzania yenye neema tele inawezekana,
UTANGULIZI: 1
(8). Jukumu la kwanza ni kuitoa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la uchumi ulio nyuma na tegemezi na kuiingiza katika mkondo wa uchumi wa kisasa wa taifa linalojitegemea.
: Jukumu hilo ni letu Watanzania, wahisani wanatuunga mkono tu!
Jukumu la pili ni kuwashirikisha wananchi wote kwa njia ya uwezeshaji katika ujenzi wa uchumi na kutokomeza umasikini!
(9). Ilani hii ni kielelezo cha dhamira ya CCM ya kuiendeleza kazi nzuri iliyokwisha kufanywa na serikali ya awamu ya tatu ya rais Mkapa. Ikichaguliwa tena, CCM itahakikisha kwamba serikali ya awamu ya nne inaendeleza kazi ya kukuza uchumi na kupambana na umasikini wa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya.
Wananchi Mnasemaje, hebu tuichambue kwa kina hii Mazingaombwe!